LOWASSA: SINA MPANGO WA . KUSHINDWA EL2015
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akisema hana mpango wa kushindwa.
Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya...
Hivi unavyosema Lowassa kapania urais unamaana gani na kapania kivipi.... Je ni MTU wa visasi vipi hivyo mbona alivyokuwa Waziri Mkuu ni nani alimfanyia kisasi....msilopoke bila hoja kwa nasirahi yenu..lakini ninyinyi mlimpa tuhuma jakaya 2005 Mara anaunwa,Mara kamfunga babu seya zote zilikuwa...
Black fire wakati Lowassa anajuzuru Richmond ilikuwa haijalipwa hata shilingi....lakini Leo escrow IPTL watu wamefungua account nyau je Kati ya awa na yeye nani fisadi......
"Mabadiliko ya Tanzania yanahitaji Kiongozi anayeweza kuthubutu kupigana na umasikini na kumkomboa mtanzania wa hali ya chini Kiongozi mwenye utayari wa kusaidia jamii kwa nguvu zake zote Kiongozi mwenye nia ya mkomboa mtoto wa kitanzania kupata elimu Bure na Bora,Ajira mahala...
Nadhani watu wamekalishwa hakuna mtu ambaye aliongwa na watu wa Lowassa hili wamsemee hakuna Bali kulikuwa na wapambe wa wagombea wengine walitembeza bahasha kila kona hili mtu wao asemwe lakini issue kubwa hauziki na hizo Pesa na zetu zimechotwa escrow Leo zimemewezesha watu kutangaza...
Ni ukweli mtupu kwa MTU aliyekuwepo Dodoma awezi kupinga kila mtu ukimliza anakwambia Lowassa atosha bila ubishi kila vijiwe vya mji wa Dodoma issue ni Lowassa nilipanda tex kutoka area c kwenda makao dereva anasema hapa ni Lowassa tu kwa lolote lile atosha akuna mwenye uwezo wa kuzuia upepo...
Naamini kamati kuu chini ya mwenyekiti wa ccm taifa mhr.rais jakaya kikwete itatimiza kazi yake kurudisha majina matano moja wapo ni Edward lowasasa NEC itapokea isitoshe wajumbe wa NEC asilimia kubwa wanaitaji mabadiliko makubwa katika nchi yetu,wanaitaji mapinduzi makubwa ndani ya...
Kwa nakuunga mkono mtoa mada nikweli kwa CV hakuna atakaye mshinda Lowassa sababu tokea chuo mwaka 1977alikuwa na uwezo wa kuajiliwa na kulipwa mshahara mzuri tu lakini aliamua kuwatumikia watanzania Pamoja na chama hanaijua vizuri hii nchi na nini cha itajika kufanywa kuletea maisha yaliyo bora...
Mtoa mada unachekesha sana hivi unasema Lowassa anagawa fedha kwa wajumbe wa mkutano Mkuu laki mbili mbili hivi utagawa fedha kitu ambacho kwanza ujagombea pili hata kama utagombea kabla sijaenda mbali hivi we nimwamaccm kweli au unakula hela za huyo aliyekutuma bule.sababu mchakato wa ccm ni...
Naisi unakurupuka utambui kama bunge la katiba liko kwa mjibu wa sheria sasa akemee ili iweje,hata mheshiwa raid hana mamlaka ya kulikemea wala kulivunja sasa we unataka Lowassa akemee kwani yeye akili udhani kama zako,mwambie unaemuona msafi akemee issue kubwa unatimiza malengo yako ya kupokea...
Hivi nilini Lowassa alitamka anagombea alafu Leo useme anajitoa jajipange vizuri nadhani kwa kutuma post hii umesha pewa bahasha yako jitahidi sana lakini angalia isije jikwaa tu.....
Mtoa taharifa hizi ni muongo sana tambua kuanzia jumamosi Lowassa hayuko Dodoma yupo dar nyumbani kwake masaki pia Lowassa ajawai kukaa kikao na mjiga kama we na kakao cha nini na hili iweje,mnasumbua sana akili zenu kila kukicha kupanga uongo na fitina zisizo kuwa na maana nadhani nifedha hiyo...
Anatambua nguvu za kisiada za lowassa jinsi anavyokubarika ndani ya ccm lakini zaidi nje ya ccm kwa watanzania wote,anaamini kutumia njia chafu kwa kuwalipa vijana fedha kushinda kwenye mitandao hili kumchafua Lowassa kumpa shutuma za uongo siku ukweli unabaki pale pale Lowassa uchapkazi wake na...
safari ya mafanikio haina ubishi wala utani watanzania wana kiu kubwa kuona awamu ya tano chini ya mhe. Edward Lowassa,propaganda zote zitapita lakini Edo atasimama.Hakika Leo tumedhamiria na kesho tutaamua kesho kutwa tutamchagua 2015 Elimu kwanza kilimo kabla..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.