Habari wana jf, Mimi ni kijana wa kiume nafanya Kazi katika company moja ya kifedha, nahitaji mchumba wa kuowa v igezo awe mweusi, Mnene wa Kati na siyo mrefu sana dini na elimu haijalishi ili mladi awe tayari kwenda kupima Ukimwi kabla kufanya chochote!
Nihitaji mwanamke wa kuowa, Mimi ni kijana wa kiume nimeajiliwa katika kampuni moja ya fedha hapa Dar, mashart awe mweusi, mnene wastani na mrefu wakati, elimu haijalishi na awe tayari kwenda kupima UKIMWIkabla ya yote!
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume nahitaji mke wa kuowa mwenye sifa zifuatazo,
Mweusi na mrefu wastani na unene wa kati.
Elimu haijalishi na awe tayari kwenda kupima UKIMWI kabla ya yote.
Mimi nafanya kazi katika taasisi moja ya fedha hapa Dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.