Recent content by makmugani

  1. makmugani

    Nakutafuta mchumba wa kuoa

    Habari wana jf, Mimi ni kijana wa kiume nafanya Kazi katika company moja ya kifedha, nahitaji mchumba wa kuowa v igezo awe mweusi, Mnene wa Kati na siyo mrefu sana dini na elimu haijalishi ili mladi awe tayari kwenda kupima Ukimwi kabla kufanya chochote!
  2. makmugani

    Natafuta mke

    Xawa Asahnte kwa ushauli wako!
  3. makmugani

    Natafuta mke

    Ok xawa mkuu!!!
  4. makmugani

    Natafuta mke wa kuoa

    Nihitaji mwanamke wa kuowa, Mimi ni kijana wa kiume nimeajiliwa katika kampuni moja ya fedha hapa Dar, mashart awe mweusi, mnene wastani na mrefu wakati, elimu haijalishi na awe tayari kwenda kupima UKIMWIkabla ya yote!
  5. makmugani

    Natafuta mke

    Habari wana JF, Mimi ni kijana wa kiume nahitaji mke wa kuowa mwenye sifa zifuatazo, Mweusi na mrefu wastani na unene wa kati. Elimu haijalishi na awe tayari kwenda kupima UKIMWI kabla ya yote. Mimi nafanya kazi katika taasisi moja ya fedha hapa Dar.
  6. makmugani

    Nani anayeisoma namba kwa sasa?

    Elewa kwanza heading then ucoment ciyo unakurupuka tuu!!
  7. makmugani

    Ajali- Ubungo mataa

    Upo maeneo gani
  8. makmugani

    Polepole afunguka: Lowassa aliomba msamaha kabla ya kukatwa!

    Kwa hiyo wewe unamwamini polepole yule ni king'asti tuu!
  9. makmugani

    Polepole afunguka: Lowassa aliomba msamaha kabla ya kukatwa!

    Wewe ni kilaza kweli unauhakika aliomba msamaha mbona inakuwa kama zombe hivo!
  10. makmugani

    Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

    Vitu gani tena mkuu!!!!
  11. makmugani

    Jenerali Mwamunyange anastaafu utumishi wa umma leo

    Mimi sipo hapo wenzako amepelekwa kizimbani kwa taarifa za kuzusha kama hizo!
  12. makmugani

    Wanaotumia Facebook ya bure Tigo

    Ni Pm nikuelekeze
Back
Top Bottom