Sababu kuu iliyopelekea Dr. Slaa kujiondoa CHADEMA ulikuwa ni ujio wa Edward Lowassa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Dr. Slaa alikaririwa akisema kwamba asingeweza kukaa meza moja na mtu aliyemnanga kwa miaka mingi kama fisadi.
Dr. Slaa akakimbia CHADEMA na kutangaza kustaafu siasa...
Nimebaki mtazamaji wa suala hili kwa muda mrefu nikijaribu kupata mdhahania wa hoja za pande zote mbili, Lissu upande mmoja na serikali upande mwingine.
Tutakubaliana kwamba Lissu ni kati ya watanzania wachache waliobaki wenye uwezo wa kujenga hoja na kueleweka. Lissu ana kipaji cha kutumia...
Mbwembwe nyingi za nguli wa sheria Profesa Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi mara tu baada ya kuteuliwa kuchukua nafasi ya uwaziri sasa zimefika tamati.
Hii inaweza kuhusishwa na ugumu wa nafasi aliyopewa, kukosa uwezo au hata ufanisi wa viongozi wake wakuu kwa maana ya Rais, Makamu wa Rais na...
Ikumbukwe kati ya wasanii walioshiriki kumuingiza Jiwe Magogoni ni Diamond Platnumz, Simba, Chibu D Chibu Dee ama Dangote. Kwa kutumia kipawa chake cha kuimba alilisifu Jiwe kwa nyimbo na mapambio hadi likaibuka mshindi.
Siku chache baada ya uchaguzi, Tundu Lissu alikuja na ile nadharia ya...
Ziara ya hivi karibuni ya Rais katika mikoa ya Kanda ya Ziwa imeibua wasiwssi mkubwa wa wananchi juu ya usalama wake.
Hili limechagizwa na ulinzi wa kivita anaoambatana nao na kuzua wasiwasi huemda Rais ana maadui wengi sana aliotengeneza katika miaka hii miwili kuliko waliotengenezwa na...
Siku hizi kadhaa kumezuka wimbi kubwa sana la wanachama watiifu wa chama cha Mapinduzi kutetea na kurejea katiba, sheria, kanuni na taratibu za nchi.
Hili limedhibitishwa na mpiga zumari wa Ikulu ndugu Musiba kumkandia RC Makonda kwa kutaka kuvunja sheria za kodi.
Mtegoni pia alinasa waziri wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.