Duh!hatimay kilio chao kimesikika, kweli hii elvis rostam imulikwe maana ni kampuni ya kinyonyaji kama huijui waulize customer care vodacom!eti mishahara inapunguzwa badala ya kupandishwa!vijana wananyonywa na degree zao pale!
Ni kweli kabisa unaweza kuvunja hizo nguvu kwa jina la Yesu,na unapovunja hakikisha unataja watu wengi uwezavyo maana wkt mwingine ni mtu tofauti na uliyemuota!Hakika unaweza kuzuia!
ni kweli kabisa matoleo ni muhimu kama unataka baraka zako.eg fungu la kumi,malimbuko mbona baba yetu wa imani ibrahimu aliambiwa amtoe sadaka mwanae pekee?achen kuwanyooshea vidole watumishi wa MUNGU!!kama uko mlengo wa kushoto huwezi kuelewa}
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.