Kwangu mimi nashindwa hilo daraja ninapunguzaje folen coco pamezungukwa na masaki, ostrebay na msasani ambako hata dadala ni chache kwa namna ya watu wanaoishi pale kuwa na mikoko yao na hao wengi wanaenda dodoma. hizo pesa zingetumika kwenye fly over na kupanua baadh ya barabara mfano nyerere...
hilo ni kweli mkuu siku moja tulikuwa na afsa mwajiri kwenye kikao alisema kitu hicho hicho. serikali kwanza inaangalia hela ya kuwalipa kwanza c tu kwa ajiri, kinacholeta changamoto ni mtaji wakufungua kijiwe chako hv tutabakia kupiga kwenye vidispensary2
kwel ndio ila ni kwa muda tu, angalia saiv vyuo vinavyotoa coz za afya e.g clinical medicine vipo vingap, pia upande wa bachelor na ulinganishe hospital zetu na vituo vya afya vyote hapo ndo utakapo gundua hili ina maana baada ya muda wote tutategemea kujiajiri
Kwangu mimi naona hii sio comb ya kukimbilia kwa sasa kwani kila mwenye uwezo wa juu ana ndoto za udaktar, sasa angalia vyuo vyetu vya udaktari na ada zake ni hatari, huyu PCB anapata div 2 udaktar anatemwa je ataenda ualimu tu.
Ila angalia PCM wana program nyingi sana ambapo mwenye div2 ni...
advance huwez linganisha na olevel kwan advance kufaulu kunategemea v2 kama , uliyoyarivise karibu na paper yametoka au laa hasa phy, pia umeamkaje siku ya paper, na v2 ving hao ni pcm na pcb. mwanafunz huyu huyu alie pata one ukampa tena paper anaeza pata 3 au 4 hivyo hivyo aliyepata 3 anaeza...
medical laboratory, kwanza bado haina watu wengi, pili ni rahisi kuenda kusoma bachelor, tatu ni rahisi kujiajiri, nne haibani sana kama nurse na utabibu. hivo nakushauri kasome hiyo course hutojuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.