Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Hatuna nafasi mkuuUnahisii kwanni sitopataa...
Hatuna nafasi mkuuUnahisii kwanni sitopataa...
Nipo hata mimi pia nimekosaNina wasiwasi hata mm kaka
Mkuu sasa mbona ardhi civil nimeona kama ina nafasi zilizobaki,icheki katika kozi za 2nd roundOkeii mwanzo ilkuwa hivi.....
Electrical ...UDSM
Mechanical...UDSM
Electrical...DIT
Civil...DIT
Civil...ARDH
We unahisi kwa nini wanafanya hivyo,yani kozi haijajaa halafu hawajakuchagua wakati vigezo unavyo!yah mkuu ilee j.tatu wakti najaza haikuwepo ilaa jnaaa nmeiona ...
Nmeijzaaa tayariii...
Nashukuruu ubarikiwe Mkuu
TENA WAPO KIBAO YANDuuuh dvsn one ya 9 umekosa frst round basi balaaah.
Ubabaishaji Tuu Mtu Ana One Ya 7 Kaachwa Bila 7bu Ya MsingiHivi inakuaje mtu mwenye one akaachwa? Au uchaguzi wa course?
Mechanical engineering mkuuu...
Nashukuru sanaaa
Ameen Brooo nashkuru sanaa ..Dogo ushauri wangu hio course kakomae from the first day mkianza masomo,wanaliwa watu vichwa sana hio course,ni among best course za engineering..kila la kheri mungu atakusaidia,..