Pole sana.
Hata njia za kitaalam mara nyingi wanadanganya tu.
Yaan binafsi sijawah kushuhudia mtu anasema alipata vitu.
Ila kwa nini walimuua? Dah aisee
Mimi binafsi nishaibiwa mara kadhaa ila njia ya polisi haikuwahi nisaidia kabisa.
Sasa kuna rafiki yangu aliibiwa pikpik akaenda kwa mtaalamu, pikpik ikaganda huko Tanga na iliibiwa Dar, akaifata akaikuta stend jamaa anashindwa kuitoa.
Leo jirani kaibiwa bajaji kiukweli nimeshindwa kumsajestia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.