Natafuta Vijana wawili tu Kwa Kila Mji kwenye Miji ifuatayo:-
Mbeya, Arusha, Moshi, Iringa, Mwanza, Tanga na Mtwara.
Nahitaji Vijana hao kwa Ajili ya Kazi ya Kutoa Elimu na Kusajiri Madereva wa Boda Boda, Taxi na Baji kwenye Mfumo wa Kuwasaidia Kupata Abiria (HAVEN). Kupitia Mfumo Huu Dereva na...