Nikiwa rais nitakuwa rais wa wote kwa sababu maendeleo hayana chama.
Nikiwa rais hakuna mtoto wa mtanzania atakosa mkopo wa elimu ya juu(tena kitu chenyewe mkopo)
Eti niwe rais halafu ukute mahali hakuna maji hii hii hiii waziri husika atageuka kuwa maji.
Bilion 7 za chadema cag alikuwa anaziona kwenye matumizi ya chadema lakini hazikupitia kwenye account za chama.
Majibu aliyopewa akarizika ni kuwa hayo matumizi wafadhili walikuwa hawatoi hela bali walikuwa wanalipia huduma moja kwa moja.
Mkuu wa wilaya ya ilala bi sophia mjema amemwagiza rpc kumkamata mkurugenzi wa namaingo buisnes kwa kutapeli wananchi sh bilion 5.
Pia ameagiza taasisi za uma zilizohadaa wananchi zichunguzwe.
Namshauri kiongozi mkuu wa jf aongee na safu nzima ya jf ili iuzwe kwa mtu yeyote aliyepo nje ya tanzania ili isilazimike kusajiliwa nchini.
Natabiri ikifikia kuomba usajili jf haitapewa kwa sababu utawala huu unaihesabu kama adui.
Ila ikiwa inamilikiwa either na mtanzania au mtu yeyote ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.