Recent content by makambale

  1. M

    Imetokea loliondo

    Nadhani hii sasa ni too much manipulation ya ict! Nadhani itapelekea jammii forum kupoteza integrity yake. Wanajamii, let us post real and authentic issues
  2. M

    Imetokea loliondo

    jamani dawa yoyote ili ifanye kazi ni lazima ikubaliane na mwili. Na mwili unarabatiwa na ubongo ambao ndio injini ya fikra na imani. Kwa hiyo ubishi wa imani vs tiba ni kukosa intellectual balance katika malumbano. Tukumbuke kwamba natural law of physics: Nature abhors vaccum! Kwa hiyo modern...
  3. M

    How to use JamiiForums effectively

    Halo jamiiforums, i am a new kid on the block! I have just come back from semunge. Many greetings from babu!
Back
Top Bottom