Recent content by makachiputa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata cheti cha ndoa BAKWATA

    Nenda hukohuko BAKWATA utapewa maelezo namna ya kupata cheti cha serikali maana wao ndio wanaopewa wavitoe kwa watakaofunga ndoa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Msaada/Utata kuhusu kibali cha ujenzi maeno ya Kigamboni

    Unaonaje kama Ukifika Ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ili uweze kupewa majibu na Maafisa Ardhi na Mipango miji. kuliko humu ambapo hautapata majibu rasmi ya wataalamu wa eneo hilo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Utata mwanamke kujinyonga polisi

    Kama aliweza kufika hadi kituo cha POLISI basi alikuwa anao uwezo wa kujinyonga akiwa nyumbani kwake, kwanini hakujinyongea nyumbani ambapo alikuwa huru kabisa kufanya hilo na jingine bila ya kuonwa na yeyote kwani shida yake si ilikuwa ni kujitoa uhai, Maswali kama haya ndio yanayosababisha...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hongera ITV na IPP-Media mnautendea haki mchakato wa katiba

    kwani unakijua kilichomtoa Tido Mhando hapo TBC?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya, Wizara ya Elimu na Mafunzo na TCU ichukulieni hatua stahiki IMTU iwe fundisho.

    yatamalizwa kimyakimya km kawaida yao. nani haijui serikali hii?
Back
Top Bottom