Msaada wa kupata cheti cha ndoa BAKWATA

muhala.jr

JF-Expert Member
Jul 25, 2014
728
600
Naomba kujua namna au utaratbu wa kupata cheti cha ndoa kile ambacho kinatambulika serikalini..mimi ninacho kile cha BAKWATA niliende RITA wakasema niende BAKWATA sasa kwa mwenye kujua utaratibu wao aniambie.
 
Njaa inakusumbua

f8ae85af-1528-4034-beba-79b23a59edd0.jpg
 
Naomba kujua namna au utaratbu wa kupata cheti cha ndoa kile ambacho kinatambulika serikalini..mimi ninacho kile cha BAKWATA niliende RITA wakasema niende BAKWATA sasa kwa mwenye kujua utaratibu wao aniambie.
Nenda msikiti ambao shekh wake alifungisha ndoa yako upate maelekezo. Nachojua Mimi serikali inatoa vyeti kutegemea na unapofungia ndoa, so wewe utapewa cheti kupitia ndoa ya kidini.

Huko huko msikitini kaulize ukienda Rita wao hawafungishi ndoa na wilayani wewe hujafunga ndoa ya kiserikali
 
Nenda msikiti ambao shekh wake alifungisha ndoa yako upate maelekezo. Nachojua Mimi serikali inatoa vyeti kutegemea na unapofungia ndoa, so wewe utapewa cheti kupitia ndoa ya kidini.

Huko huko msikitini kaulize ukienda Rita wao hawafungishi ndoa na wilayani wewe hujafunga ndoa ya kiserikali

Unaweza kuta huyo sheikh hana hata leseni ya kufungisha ndoa
 
Nenda hukohuko BAKWATA utapewa maelezo namna ya kupata cheti cha serikali maana wao ndio wanaopewa wavitoe kwa watakaofunga ndoa
 
Back
Top Bottom