Namna ya uwezeshwaji kwa vijana ili kujikwamua kiuchumi na kijamii.
Kwanza nitoe pole kwa wasomaji wenzangu hasa vijana hivyo nami nitakuwa miongoni mwa watoa makala za mashindano ya mabadiliko au mageuzi kwa ajili ya uwezeshwaji kwa vijana ili kujikwamua kiuchumi na kijamii. Makala hii...
Ngoja na mie nichangie kidogo .Ni kwamba baada ya mkataba wako kuisha au kuachishwa kazi inabidi usubiri mwezi mmoja Baada ya mkataba kuisha ndo utaenda kufungua madai ya fao la kukoswa Ajira.hapo utaambiwa upeleke
1;Barua ya kuachishwa kazi
2; certificate of service
3:Nakala ya kitambulisho...
Nami ninauliza hapo hapo kwenye Mapunjo ,mfano miye Nimechukua 33.3% kwa muda wa miezi sita ,kwa Sasa imepita miezi 3.Je ninaweza kwenda Nssf Kudai Mapunjo yaliyobaki.?Msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.