Recent content by Majoy

  1. Majoy

    Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Nenda office za uhamiaji chukua fomu na maelejezo mengine utayapewa hapo.
  2. Majoy

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Anapatikana Dar ni rafiki wa dadangu.anatoa malaysia hizo dawa.
  3. Majoy

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Hii hapa ni tiba safi ya kusafisha utumbo na kukuweka mbali na tatizo la kutoa harufu mbaya mwilini au mdomoni.
  4. Majoy

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Anaweza kuondoa harufu hiyo kwa kutumia supplements za kutoa sumu na kusafisha utumbo.cheki na 0753298373 anazo bidhaa nzuri sana.mi najua watu alowasaidia walokuwa na tatizo hilo na sasa wapo fresh.
  5. Majoy

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Umesema vizuri...ukiona mty ananuka mdomo ujue tatizo limeanzia tumboni kwenye utumbo so anatakiwa ku detox ili kusafisha utumbo.
  6. Majoy

    Jamani nashindwa kumuelewa huyu mwanamke........

    Hakupendi huyo angekuwa anakupenda angekuwa na wivu nawe ila kwa hayo ulosema ni wazi hakutaki ila anategea ww ndo uwe wa kwanza kumuacha...pole. U beta decide today b4 its too late.
  7. Majoy

    Wanaume kuweni romantic -.staili uliyoanza nayo kumtongoza na ukampata endelea nayo hiyo hiyo

    Bora uwaambie siku hizi wanaume wengi wako kavu sanaaa! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  8. Majoy

    Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

    Duh kweli wabongo noma! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  9. Majoy

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Mwenye tatizo hizo hilo amtafute mdada anaitwa jesca ana bidhaa zinasaidia sana hilo tatizo sio kutuliza kumaliza kabisa. Namba yake ni 0753298373. Hata wale wanaotoka majasho sana na kunuka kikwapa kikaliii anayo tiba. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  10. Majoy

    mumeo alikuwa kicheche mie nikamtuliza kuna ubaya?

    Khaaaa kuna watu mmepinda mpk kinyaa...huna hata haya kujinadi umemtuliza mume wa mwenzio. Furahi kama maisha yako yote utakua kimada ila ukiolewa utaonja inavyouma kujua mumeo ana mwanamke nje..ptuuu! Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Back
Top Bottom