Mh.Rais kweli hilo ndilo jibu uliloamua kutuchagulia watanzania juu ya yanayoendelea? kweli kabisa toka moyoni mwako umeona hilo ndilo linatufaa? Mungu Tusaidie.
Ni kweli Leo chama changu ccm pia tumeikataa demokrasia? Leo tunabadili katiba na kuweka vipengele vya kumpitisha mtu bila kupingwa? kipi kinaogopwa na kipi kinaandaliwa? Leo tunawakamata wenzetu wanaojalibu kuwa na mitazamo tofauti? kwa nini sasa mlihitisha mkutano? bora mngekaa tu na kuja na...
Hakika inashangaza sana katika Yale yanayoendelea Dodoma katika vikao vya ccm, Siamin kabisa kama mwenyekiti anaamua kutupeleka kwa namna hii ? kuna hatari kubwa sana inakuja mbeleni hii siyo kwa ccm tu ni kwa taifa zima. kwa nini ubadili katiba ikuluhusu kupita bila kupingwa? Leo wale wanaohoji...
kutokana na mkanganyiko ulijitokeza juu ya mkuu wa mkoa Mr.Makonda, has a kwa njia anazojalibu kutumia kushughulikia swala zima La madawa ya kulevya kwa kuwataja watu hadharan na kuwaita pale central police, njia hii imeleta zogo sana has a ikishutumiwa kama njia ya kudumazana na kuchafuana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.