1.Pombe sinywi. Mara chache sana nakunywa Sweet Wines
2.Matunda nazingatia sana..mwanzoni yalinisaidia ila siku izi sion impact yake.
3.Style gani nzuri ya kulala mkuu?
Choo kinakua dynamic. Kuna siku kigumu na kuna siku laini. Mkojo unakua mweupe pale ikitokea nmekunywa maji mengi ila nkinywa let say 1ltr mkojo unakua Njano.
Maumivu mara nyingi ni usiku na swala la kupata usingizi kwangu imekua mara chache sana zaid nakua najigeuza geuza tu kitandani adi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.