Mkuu kweli tufahamishe awali diwani alikuwa wa chama gani, na kuyaleta hayo makaravati kipindi hiki ni rushwa!!! wajiulize kilichowatokea Igunga baada ya Magufuli kuhaidi kujenga daraja endapo atachaguliwa mbunge toka Chukua Chako Mapema
Hajapiga siasa yoyote ya kiimani, nadhani wewe sasa ndio unaingiza siasa tena za kiuslamu! Watot wanadhihakiana wao kwa wao, watu wazima wenye sigda mnachukulia ni jambo la kidini!!!!! Huyo mtoto aliekojolea hakuwa na Quran (NAHESHIMU KITABU HIKI) huyo mwenzake wa dini husika ndie alikuwa nacho...
hawa c wa kuwasamehe hata kama tunaamini mtu akikukosea umsamehe saba mara sabini, imetosha! kumbuka walivyofanya tunduru kuchoma nguruwe, muislamu anachoma nguruwe? ili iweje? kuna haja ya kuwajibu kwa vitendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.