nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
- Thread starter
- #81
Tanganyika ndio wapi?
Tuanzie hapo kwanza, ili tujue wewe ni kanjanja au sio kanjanja.
Oh... Nadhani kweli tunahitaji ELIMU BORA; Hiyo ni HISTORIA ya DARASA la NNE...
Kama hauijui Sasa kweli hapo itakuchukua Miaka 50; kujua HISTORIA ya NCHI Unayoishi ?
Ndio Maana nasema ELIMU yetu IMEBOMOKA kabisa... Na Unatumia tabia ya kibaguzi to call people names...
Did you know judging a person is a SIN ?