Huyu kijana hakika ni LULU iliyo njema sana katika Taifa ili. Zaidi tumombee kwa mwenyezi Mungu amlinde zidi ya MACCM yasije yaka MLIMBOKA.
over.
#BACK TANGANYIKA.
MIMI MWENZENU HAPA NIMECHAGULIWA KWENDA KUGONGA Bsc. in mechanical engineering. ILA SIJUI AJIRA NITAPATA WAPI BAADA YA KUHITIMU COZ VIWANDA HAPA KWETU NI SHEEEEDAAH.
Si kama laki tatu za kila siku wamebakza siyo zaidi ya milioni mbili. Naomba waislamu wakomae na kadhi alafu wakristo nao waigomee ili katiba ya 6 ibume
Kwa hapa musoma ccm ilishakufa. Yaani kwa magamba kufanya mkutano hapa musoma mpaka mathayo agawe pesa ndpo raia wauzurie . Juzi wamefanya mkutano jumla ya watu walioudhuria hawafiki hata 60
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.