Habari zenu ndugu.. leo nimekuja na hii... "katika mradi wa kutengeneza rail mpya ya train ziendazo kwa kasi (Standard gauge railway) Tanzania. kampuni ya YAPI MERKEZI kutoka nchini uturuki ndio watengenezaji wa rail hiyo kuanzia dar mpaka dodoma.. sasa basi wametoa fursa kwa kampuni za...
Jamani mimi nina ya kupangisha nina wapangaji 7 japokuwa nyumba sio ya kisasa saaana lakini nina tatizo moja. Kuna baadhi ya wapangaji wamepanga hapa kwa mda mrefu sana sasa tumekuwa kama ndugu lakini tatizo sasahivi hawataki kunipa kodi kama inavyotakiwa... Na mimi nawaonea huruma sijui aibu...
Jamani mimi nina ya kupangisha nina wapangaji 7 japokuwa nyumba sio ya kisasa saaana lakini nina tatizo moja. Kuna baadhi ya wapangaji wamepanga hapa kwa muda mrefu sana sasa tumekuwa kama ndugu lakini tatizo sasahivi hawataki kunipa kodi kama inavyotakiwa.
Na mimi nawaonea huruma sijui aibu...
Habari... Jamani nina viwanja na shamba maeneo ya mkuranga nauza kwa bei nafuu,, au kama kuna madalali wanaweza kunisaidia naitaji msaada wenu pia mawasiliano 0716927850
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.