Viongozi wengi wa kiafrika ni WOGA SANA WA DEMOKRASIA wanapokua madarakani,wanaipenda sana democrasia wakiwa hawajaingia madarakani ndo maana hcho ni chanzo cha migogoro mingi ndan ya vyama hata kwa nchi!!
BABU ana hoja nzito kuliko wewe kijana?hatari sana,una mawazo mgando sana,unaweza kwenda nje tu?hujckii fahari kuwa mtanzania?wao wana nafasi kubwa kuja kwe2 kuliko cc kwenda kwao...hongera babu kingunge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.