Mbinu alizotumia Karia kubaki madarakani ndio wanazotumia CCM kubaki madarakani. Kinachopiganiwa na CDM kuhusu ustawi wa haki na uwajibikaji kinahusisha nyanja zote. Taratibu watu wataelewa.
Hata kwangu imeingia sms inasema hivyo
Kipindi kile cha uchaguzi zilitumwa nyingi za aina hii, ninachoshangaa sijawahi ona inayosisitiza haki mahali popote.
Kuna amani bila haki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.