Recent content by maiyanga1

  1. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    CDF, IGP na DCI wanaenda kuithibitishia mahakama jinsi jeshi na polisi ambavyo ni vyombo vya serikali vinatumika kukandamiza upinzani. Maswali aliyouliza Mh Lisu kwa mashahidi wake ambayo mashahidi walielezea kuhusu kukamatwa, kupigwa, kulala mahabusi na baadaye kuachiliwa, yataulizwa kwa...
  2. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Hakuna cha ajabu Samia kupigiwa magoti na wanaume.

    Na hii ya kanzu na baraghashia, ni ulaghai tu. Kuna waliofunga watu kamba za viatu.
  3. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Fulana za kumbukumbu ya mauaji ya Tundu Lissu zagombewa kama njugu, zamalizika sokoni kwa muda mfupi

    Haitashangaza kusikia watu wamepigwa marufuku kuzivaa.
  4. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Watu kufurahia kifo cha Mume wa rais wao kinaleta taswira gani kwenye taifa?

    Watu walie, wafurahi ukweli unabaki palepale, kifo ni kifo.
  5. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Wasanii walioitwa na Katambi leo wamesamehewa bado Anko T na Niffer ambao hawakufika

    Makosa yao kuwa upande wa wananchi.
  6. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Hayo matusi yamethibitishwa na nani? Mahakama si zipo? Na hukumu ya matusi ni kifo?
  7. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuendelea na maswali ya dodoso Mahakamani Agosti 27, 2026

    Video nzima haikuchukuliwa na mahakama kama kielelezo cha ushahidi.
  8. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Samia, Hawezi Kufanya Hayo Wanayotaka Wao

    TEC walikuwa wageni wasikilizaji.
  9. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Enzi za jiwe, tuliogopa kuchunguza vyeti "FEKI" kwenye majeshi yetu, kuofia kutengeneza majambazi mtaani, Nina wasi wasi huyu shahidi na yule alie kuf

    Ingewezekana ingetafutwa namba ya NIDA ya marehemu na yeye atoe yake.
  10. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Mwandishi Khalifa ana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko hata wakongwe kama Pascal. CCM ni ajuza ambae hawezi kujilemba tena

    Kwa sasa hivi Khalifa ndio mwandishi wa habari. Ana uthubutu na mzalendo wa kweli sio wale wa kuvaa bendera. Big up.
  11. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    Kuna mtu alikuja na Uzi kwamba Marekani haiitambui ICC na inataka ifutwe, hii ikoje?
  12. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Harufu ya rushwa katika Idara ya Utawala na Utumishi, Halmashauri ya Ilala

    Hiyo sio rushwa, ni urefu wa kwamba.
Back
Top Bottom