Tonetone ilipigwa stop kwenye simu na mikutano ya CDM na ilikuwa inachangiwa na wananchi wa kawaida (walala hoi)
Harambee inachangiwa na matajiri wachache (walala hai) ambao hutasikia TRA wanawadai kodi tena.
Ni kweli kabisa, na asilimia kubwa ni uzembe wa watenda kazi, wapo wachache waadilifu. Nitarudi na visa kadhaa ambavyo watoto wengine wanapata mtindio wa ubongo sababu kubwa ni huduma mbovu katika vyumba vya kujifungulia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.