Recent content by maiyanga1

  1. maiyanga1

    GE2025 Kuelekea uchaguzi wa October nchi na serikali zimekumbwa na anguko, nani wa kuokoa kadhia hii?

    Ukweli ni kwamba CCM imedhamiria kuiingiza Tanzania katika machafuko huko mbeleni.
  2. maiyanga1

    GE2025 Kesi ya Said Issa dhidi ya CHADEMA yaahirishwa hadi Septemba 10, 2025; nyaraka za mali na fedha zaombwa Mahakamani

    Wajibu wa Mahakama ni kutenda haki, kwetu Mahakama inachelewesha haki.
  3. maiyanga1

    GE2025 Wajue wabunge 10 Walikouwa wabunge na kushinda kura za maoni kisha kukatwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

    Soon baada ya uchaguzi hao ni wakuu wa mikoa na wilaya. CCM Kuna kazi nyingi.
  4. maiyanga1

    Je kuvaa uniform za kubana kwa jeshi la polisi inaruhusiwa?

    Sio dormitory tu mkuu, mwingine Yuko nyumbani kabisaa.
  5. maiyanga1

    GE2025 Maigizo au Utakatishaji fedha? CCM njooni hapa tusemezane

    Tonetone ilipigwa stop kwenye simu na mikutano ya CDM na ilikuwa inachangiwa na wananchi wa kawaida (walala hoi) Harambee inachangiwa na matajiri wachache (walala hai) ambao hutasikia TRA wanawadai kodi tena.
  6. maiyanga1

    Aibu kwa Mhimili wa Mahakama: Kutoka kutumiwa kama kielelezo cha Utetezi wa Haki hadi kutumiwa kama kielelezo cha kuminya Haki

    "Mahakama zetu zinatoa maamuzi baada ya Hakimu/Jaji kupigwa simu" Rostam Aziz
  7. maiyanga1

    Ndugai alikaa miaka 25 Bungeni ila barabara za Jimboni kwake zilimshinda

    Yeye Ndugai kama mbunge alichukua hatua Gani?
  8. maiyanga1

    Wanasheria wa Lissu tupeni tafsiri ya "kukinukisha vibaya sana" ili tujue tujiandae vipi?

    Makala alishatoa maana ya Lisu kusema atakinukisha. Tafuta hotuba za Makala utakutana nayo.
  9. maiyanga1

    GE2025 Wakili wa Jamhuri aomba Mahakama iahirishe tena Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu

    Laana ya dhuluma yoyote duniani hulipwa hadi kizazi cha nne. Watu wakumbuke hilo.
  10. maiyanga1

    Anayedhani mgombea mwenza CCM ni msafi basi hajajua mambo haya!

    Kiufupi CCM imeoza, ni kiongozi gani wa CCM wa ngazi yoyote anayechaguliwa bila kuhonga wajumbe?
  11. maiyanga1

    Kifo cha Mjamzito Irene Tillya na mwanaye utata mtupu

    Ni kweli kabisa, na asilimia kubwa ni uzembe wa watenda kazi, wapo wachache waadilifu. Nitarudi na visa kadhaa ambavyo watoto wengine wanapata mtindio wa ubongo sababu kubwa ni huduma mbovu katika vyumba vya kujifungulia.
Back
Top Bottom