Recent content by maiyanga1

  1. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Nimjuavyo Samia, Hawezi Kufanya Hayo Wanayotaka Wao

    TEC walikuwa wageni wasikilizaji.
  2. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Enzi za jiwe, tuliogopa kuchunguza vyeti "FEKI" kwenye majeshi yetu, kuofia kutengeneza majambazi mtaani, Nina wasi wasi huyu shahidi na yule alie kuf

    Ingewezekana ingetafutwa namba ya NIDA ya marehemu na yeye atoe yake.
  3. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Mwandishi Khalifa ana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo kuliko hata wakongwe kama Pascal. CCM ni ajuza ambae hawezi kujilemba tena

    Kwa sasa hivi Khalifa ndio mwandishi wa habari. Ana uthubutu na mzalendo wa kweli sio wale wa kuvaa bendera. Big up.
  4. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani laikosoa ripoti ya Chade, lataka Samia afikishwe ICC

    Kuna mtu alikuja na Uzi kwamba Marekani haiitambui ICC na inataka ifutwe, hii ikoje?
  5. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Harufu ya rushwa katika Idara ya Utawala na Utumishi, Halmashauri ya Ilala

    Hiyo sio rushwa, ni urefu wa kwamba.
  6. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Serikali inafanya tathmini ya Tamko la Jumuiya ya Madola kuhusu Lissu, tutawapa majibu

    Inaonekana anaongea kwa adabu.
  7. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dkt. Dorothy Gwajima, akulizwa kuhusu ushoga au mashoga ambao wanajitapa anakuwa anakwepa kwepa?

    Mtu anauza mwili wake na wanunuzi wapo waachane nao, washughulikie ufisadi uliokubuhu, utekaji, uuaji, upatikanaji wa haki.
  8. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Soko la Bilioni 40 limekosa wapangaji kama lilivyo Soko la Job Ndugai

    Akili inaanza kukuingia, taratibu utaelewa.
  9. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Updates: Kesi ya Mawakili wa Lissu dhidi ya Mkuu wa Gereza la Ukonga

    Watu watavuliwa nguo.
  10. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Nataka nizungumzie matumizi ya jina Samia, limekuwa linajirudia rudia haipendezi

    Angekemea pia viongozi ambao hawamalizi sentensi mbili bila kumtaja jina na kwamba katoa hela ya kufanya hiki na kile, wakati ni kodi za watanzania
  11. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Azam FC wamewaiga CHADEMA

    Mbinu alizotumia Karia kubaki madarakani ndio wanazotumia CCM kubaki madarakani. Kinachopiganiwa na CDM kuhusu ustawi wa haki na uwajibikaji kinahusisha nyanja zote. Taratibu watu wataelewa.
  12. maiyanga1

    JamiiForums Tanzania Bila amani, fursa hupotea na ndoto husimama. Kila mmoja wetu ana wajibu wa kulinda amani. Tanzania ni yetu sote, tuilinde

    Hata kwangu imeingia sms inasema hivyo Kipindi kile cha uchaguzi zilitumwa nyingi za aina hii, ninachoshangaa sijawahi ona inayosisitiza haki mahali popote. Kuna amani bila haki?
Back
Top Bottom