Tunapoambiwa kuwa Serikali haina Dini ila Watu wake wana Dini.
Hapo hapo tena tunaambiwa kuwa, Serikali ni watu na Watu ni mimi na wewe.
Sasa kama Serikali ni watu then hapo hapo tunaambiwa kuwa Serikali haina Dini, basi tukubariane kuwa hata watu wake pia hawana Dini.!!
Mana watu si ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.