Recent content by Mais velho

  1. Mais velho

    Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

    Serikali inakubalia na hilo kwasababu ni sheria tayari.
  2. Mais velho

    Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

    Usalama upi unaoukusudia kama kweli hawo mnaowaita mabeberu wanashida na hayo unayoyazungumzia ya Internet wasiweze kuyafanikisha wakati shina liko kwao na wewe unatawi tu.? Wakiamua hawanashida ya kumtumia mtu hata mmoja wakati kila kitu kikokwao watafanya tu. Au unaona hawawezi?
  3. Mais velho

    Daraja la SGR la Tanzania labomolewa

    Yabomoke tu yote na wewe uwe likuangue lá kichwa.
  4. Mais velho

    Rais Hussein Mwinyi ataiunganisha Zanzibar na Bara

    Marekani kuna uchaguzi na matokeo hayajatangazwa ya mshindi hebu tueleze umesikia kwamba kumetokea mauaji,kutekwa,kupigwa, kuuliwa na police kutumia nguvu kwa wananchi na watu kupokonywa fomu kama hapo penu, Ikiwa huko yalifanyika na nyinyi mnafanya?
  5. Mais velho

    Rais Hussein Mwinyi ataiunganisha Zanzibar na Bara

    Kuunganisha kwa kuuwa watu wacheni ujinga naakaunganushe bara huko ndiko alikopitishwa kujafanya mauwaji ili ashinde.
  6. Mais velho

    Jackton Manyerere: Tusiangalie "makandokando" ya NEC bali tumpe ushirikiano Rais Magufuli kwa nia njema aliyonayo kwa taifa hili

    Hii ndio nia aliyoikusudia? Atalipa yote aliyowafanyia unyama raia wasiokuwa na hatia.
  7. Mais velho

    Daraja la SGR la Tanzania labomolewa

    Mimi nataka yote yabomoke moja baada ya moja. Ameeen
  8. Mais velho

    Askofu Mwamakula: Tundu Lissu aomba hifadhi Ubalozi wa Ujerumani baada ya vitisho vya uhai wake

    Hata hizo hoja zako haziendani na matukio unayoyazungumzia na hali ya sasa inayosemwa. Ikiwa ni hivyo mbona hamtumii hoja mnatumia wasiojulikana kutaka kumdhuru?
  9. Mais velho

    Askofu Mwamakula: Tundu Lissu aomba hifadhi Ubalozi wa Ujerumani baada ya vitisho vya uhai wake

    Serikal ya ccm imeamua kuuwa raia ya wake bila ya sababu kisa hamtakikushindwa kila aina ya unyama mmefanya ndio maana mkifikwa ni lolote baya wananchi hufurahia baya hilo kwa sababu hampo kwa ajili ya raia bali matumbo yenu.
  10. Mais velho

    Askofu Mwamakula: Tundu Lissu aomba hifadhi Ubalozi wa Ujerumani baada ya vitisho vya uhai wake

    Tatizo sio kuogopa. Ujinga nikumtishia uhai wake bila ya sababu kwahiyo mimi kukutishia kifo kwanjia ninayoijua mimi inamaana hutaogopa wakati ninanguvu zakukushinda kwa njia yoyote?
  11. Mais velho

    Donald Trump ajitangaza mshindi kabla ya matokeo ya mwisho

    Huko watu wametekwa,wamepigwa,wamenyanganywa fomu,wametekwa,wameuliwa kwasababu tá uchaguzi,wametoa kauli za kutisha kwa baadhi ya viongozi, wametumia jeshi kudhibiti wananchi vyombo ndiyo viko huru nani awe mshindi WA halali na sio kupiga Kurq feki kabla tá uchaguzi sasa unaposema pompeo...
  12. Mais velho

    Matokeo ya uchaguzi Marekani 2020: Trump anadai kura zimeibwa

    Rais ndiye anaelalamika. Huku jiwe asema nileteeen fulani na muleta nisieyemtaka sileti maendeleo huko wako huru hawaui hawapigi watu hawapigi kura za wizi na kuzipeleka vituoni hawatoi mawakala hawawateki na mengine machafu jee jiwe alishinda kwa uchaguzi upi wahaki naomba Mungu kwa ushenzi...
  13. Mais velho

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kutangaza kujitoa kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani walizoshinda

    Kwa kupiga watt wasionahatia, kuua, kuiba kura, kujaza kura feki ndio kukubalika kwa CCM?
  14. Mais velho

    Siasa za Zanzibar: Hongera Dr. Mwinyi Kwa Ushindi wa Kishindo, Maalim Makamo wa I, Mteue Balozi Amina Salum Ally Awe Makamo wa II, Utoe Sare Sare Maua

    Kwanzaa umsenge. Lá pili lá pemba halikuhusu. Lá tatu hayo machungu mumeyasababisha nyinyi sasa pole ni ya nini? Unafiiki wenu ubakie huko kwenu kwa watanganyika wenzako. Dhulma mtailipa kwa njia yoyote lililobaki subir teuzi ufanye unyama zaidi kwasababu ndio asili yenu.
Back
Top Bottom