Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
- Thread starter
- #121
Tanzania tumekataa upinzani. Mjipange upya 2025Wewe uliambiwa huyo Aida ndiyo aliwazidi hao wapinzani mbinu..?
Mkakati kwa uchaguzi huu ulishaandaliwa mapema kwa sisiem kutangazwa iwe iwavyo..
Mmesahau ile kauli ya bwana mkubwa kwa wakurugenzi alipiwaambia haiwezekani awape nyumba, gari, mshahara halafu watangaze mpinzani kashinda...ike kauli we uliielewaje.?
Sent using Jamii Forums mobile app