Recent content by maikooo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi University of Dar es Salaam (Immediate vacancies)

    Hiki chuo nacho kishakuwa cha kata. Miezi miwili saiv bado tu hawajaita watu kwenye interview?
  2. M

    JamiiForums Tanzania UDSM Undergraduate and Masters Merit Scholarship

    Hiki chuo nacho kinakaribia kuwa cha kata. Yaan walisema majibu watatoa wiki inayoishia tar 10. Lakini cha kushangaza leo ni tarehe 14 bado hawajatangaza waliopata na usajiri mwisho ni tar 18. Na masomo yashaanza wiki ya pili hii. Kwa nini wanashindwa. Kuwa systematic
Back
Top Bottom