Hiki chuo nacho kinakaribia kuwa cha kata. Yaan walisema majibu watatoa wiki inayoishia tar 10. Lakini cha kushangaza leo ni tarehe 14 bado hawajatangaza waliopata na usajiri mwisho ni tar 18. Na masomo yashaanza wiki ya pili hii. Kwa nini wanashindwa. Kuwa systematic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.