Mhumapatali
Member
- Jul 23, 2017
- 29
- 36
Kinamaanisha ,kama ulimaliza Chuo 2016 kushuka chini hauna vigezo vya kuomba.Kigezo namba6 kwenye master...ufafanuzi please.
Kwa maana hiyo aliyemaliza mwaka huu hawezi kuomba?Kinamaanisha ,kamq ulimaliza chuo 2016 kushuka chini hauna vigezo vya kuomba.
Wenye vigezo ni waliomaliza 2017 na 2018
Hawezi kuomba, maana hawezi kupata admission ya udsm kwaajiri ya masters, kwasababu hana cheti wala transcript ambavyo ni lazima awe navyo ili kupata admissionKwa maana hiyo aliyemaliza mwaka huu hawezi kuomba?
Mkuu si lazima uwe na vyeti hivyo unapoomba admission hasa kwa aliyesomea UDSM.Hawezi kuomba, maana hawezi kupata admission ya udsm kwaajiri ya masters, kwasababu hana cheti wala transcript ambavyo ni lazima awe navyo ili kupata admission
Admission ninayo tayariHawezi kuomba, maana hawezi kupata admission ya udsm kwaajiri ya masters, kwasababu hana cheti wala transcript ambavyo ni lazima awe navyo ili kupata admission
Admission ninayo tayari
Hicho Chuo sio pa kwenda kusoma postgraduate studies (PhD na masters.) Hapafai!Chuo kikuu cha Dar es Salaam kimetangaza nafasi 62 za ufadhili wa masomo kwa shahada za awali (Undergraduate, Nafasi 52) na shahada za umahiri (Masters nafasi 10). Kwa maelezo zaidi angalia kiambatanisho
WhyHicho Chuo sio pa kwenda kusoma postgraduate studies (PhD na masters.) Hapafai!
Kwa sababu ni jalalani (according to prof kabudi, former prof wa udsm).
Hiki chuo nacho kinakaribia kuwa cha kata. Yaan walisema majibu watatoa wiki inayoishia tar 10. Lakini cha kushangaza leo ni tarehe 14 bado hawajatangaza waliopata na usajiri mwisho ni tar 18. Na masomo yashaanza wiki ya pili hii. Kwa nini wanashindwa. Kuwa systematic
Sometimes hii kauli inakuwaga na ukweli fulanKwa sababu ni jalalani (according to prof kabudi, former prof wa udsm).