Recent content by Maige Chagu

  1. Maige Chagu

    Rais Samia aliposema atateua vijana naona amewaibua vijana wa CCM kila kona wanashambulia jukwaa waonekane

    Vijana CCM tupunguze kudemka kwa ajili ya hivi vyeo,ukidemka sana ndio unaharibu kabisa.
  2. Maige Chagu

    Msaada wa kupata chuo Uganda

    Kama uko vizuri( Academically & Financially)nenda Makerere University hutajuta, believe me!!
  3. Maige Chagu

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Mama kaanza vizuri sana, usipomkubali kwa hizi hatua alizoanza nazo utakuwa na tatizo bila shaka.Alichonikosha zaidi ni namna alivyowaelekeza viongozi kutumia akili zaidi katika kuongoza wananchi badala ya ubabe,ni jambo jema.Kikubwa sisi kama wananchi tumsupport na tusisite kutoa maoni ya...
  4. Maige Chagu

    Jamhuri ya Woga

    Chadema ndio mazezeta mbowe tangu mwaka 2003 enzi za Mkapa ni mwenyekiti hana jipya kwa sasa anaganga njaa tu,aachie damu changa ameshaexpire.
  5. Maige Chagu

    VoA: Lissu aomba Rais Magufuli kufanya maridhiano na wapinzani wake

    Lissu atawakimbia chadema muda siyo mrefu,hakuna mtanzania asiye mwelewa Rais Magufuli kwa yale anayoyafanya kwa nchi yetu.Mungu anaipenda sana TZ chini ya Jemedari Magufuli,hakuna cha nzige wala Covid-19,Lissu rudi CCM tu chama cha Nyerere huko kwingine unapoteza muda tu ,ukitaka kuona balaa...
  6. Maige Chagu

    GE2020 Ester Bulaya aiua CCM Bunda kifo cha kikatili mno. Uzinduzi wa kampeni wadhihirisha

    Ukweli mchungu ila lazima tuuseme tu, Esther Bulaya safari hii Bunda haambulii kitu.Kiufupi atagaragazwa vibaya mno na Maboto,mwaka 2015 Wassira alikuwa amechokwa vibaya mno Bunda ndio maana Bulaya alishinda Ila siyo kwa ushindi mkubwa sana.Safari hii Bulaya lazima akae kwa Maboto.
  7. Maige Chagu

    Daraja la mto Kilombero lakamilika kwa asilimia 100. Tuliahidi tunatekeleza!

    🙏 Kura zote kwa Magufuli 💯✅✅✅✅
  8. Maige Chagu

    Watumishi wa umma tumtie moyo Tundu Lissu

    lissu siyo wa kusikiliza yule ni bonge la mlaghai
  9. Maige Chagu

    GE2020 CHADEMA isisahau viunga vya miji

    lissu hana jipya
  10. Maige Chagu

    GE2020 CHADEMA isisahau viunga vya miji

    lissu siyo wakuzungumzia tena kwa kuwa atashindwa vibaya mno kwenye uchaguzi,angegombea udiwani tu kwa kuwa hata ubunge asingemuweza comrade Miraji Mtaturu
  11. Maige Chagu

    GE2020 Matarajio ya Lissu yalikuwa ni kuona Kampeni zinajikita kwenye vijembe na vurugu

    Naona mwenzake membe ameusoma mchezo akaona JPM ni namba nyingine amejikatia tamaa ameamua kutulia tu,huyu lissu anajikongoja atagaragazwa vibaya mno
Back
Top Bottom