Mama kaanza vizuri sana, usipomkubali kwa hizi hatua alizoanza nazo utakuwa na tatizo bila shaka.Alichonikosha zaidi ni namna alivyowaelekeza viongozi kutumia akili zaidi katika kuongoza wananchi badala ya ubabe,ni jambo jema.Kikubwa sisi kama wananchi tumsupport na tusisite kutoa maoni ya...
Lissu atawakimbia chadema muda siyo mrefu,hakuna mtanzania asiye mwelewa Rais Magufuli kwa yale anayoyafanya kwa nchi yetu.Mungu anaipenda sana TZ chini ya Jemedari Magufuli,hakuna cha nzige wala Covid-19,Lissu rudi CCM tu chama cha Nyerere huko kwingine unapoteza muda tu ,ukitaka kuona balaa...
Ukweli mchungu ila lazima tuuseme tu, Esther Bulaya safari hii Bunda haambulii kitu.Kiufupi atagaragazwa vibaya mno na Maboto,mwaka 2015 Wassira alikuwa amechokwa vibaya mno Bunda ndio maana Bulaya alishinda Ila siyo kwa ushindi mkubwa sana.Safari hii Bulaya lazima akae kwa Maboto.
lissu siyo wakuzungumzia tena kwa kuwa atashindwa vibaya mno kwenye uchaguzi,angegombea udiwani tu kwa kuwa hata ubunge asingemuweza comrade Miraji Mtaturu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.