Tangu serikali iamue kupeleka miradi ya maji ya vijiji kwa mtuwasa Mtwara vijiji tunapata taabu sana. Miradi ambayo siku zote ilikuwa inaenda vizuri siku hizi ni kero sana. Mfano mradi wa kata ya naumbu tangu uchukuliwe umekuwa haupati maji kwa hali ipasavyo. Maji yetu ambayo hupampiwa na...
====
Kufundisha na kutoa maswali sio kitu kimoja. hata wazazi tulikuwa tunawapa maswali. Pili, shule ya jazar wanafunzi waliosoma online walilipishwa pesa ya kugharamia huduma huzika.
====
(1) Shule za binafsi hazijalipa mishahara kipindi cha Corona na hawatalipa walimu. Hiyo jazal imewapa walimu wake likizo bila malipo.
(2) Hatakama watasomesha content yote lakini gharama ya chakula na huduma zingine mwanafunzi hawajibiki kulipia kwani hakutumia.
(3) Wanafunzi wa darasa la...
Well inategemea na unavyojua wewe Ada ya shule inagharamia vitu gani: 1. mfano kwa muda uliofidiwa haimaanishi kwamba mwanafunzi atapanda Basi la shule twice ndani ya siku moja kwenda shule. 2. Kwenye kukokotoa Ada huwa yanaangaliwa Mambo kadhaa ikiwemo chakula, gharama za bills Kama maji...
Ndugu Mzazi/Mlezi;
*Kuelekea kufungua Shule(Toka likizo ya Janga la corona), ADA YETU ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:-
1. Ili kuwapa wepesi wazazi katika kufanya Malipo ya Ada kutokana na Janga hili la korona, Uongozi umeamua kupunguza ada kwa kiasi cha Sh. 100,000/= (Shilingi laki moja). Hivyo bas:-...
Wanajamii forum nawasalim,
Naiomba wizara ya Ardhi na Maendeleo Ya Makazi waumulike Manispaa ya Mtwara. Mimi ni mhanga katika ufisadi ambao unaendelea pale ofisi ya ardhi jirani ma BOT. Nilikuwa nahitaji kulipia kiwanja changu. Lakini kila nikipewa control number inasoma jina ambalo silo la...
Kama unamaanisha jengo ambalo tunaishi ni nyumba ya kazini kwetu. nalipia pango mimi. Kama unamaanisha control ya home bado sijafikia kuburuzwa ndio maana panachimbika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.