Ndugu Wanabodi,
Leo mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dr John Pombe Joseph Magufuli anazindua kampeni zake. Hatua hii ni muhimu katika mchakato huu. Vyama vingine vitafuatia.
Anapozindua kampeni zake, ni muhimu Watanzania tukaendelea kumfahamu...
Ndugu wanabodi,
Hapana shaka uchaguzi wa mwaka huu tayari umevuta na utaendelea kuvuta hisia za wachunguzi wa maswala ya kisiasa na hata wananchi wa kawaida, pengine kuliko uchaguzi mwingine wowote. Nina imani hali hii itaendelea mpaka Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Kaka, i can feel your pain, lakini nchi yetu inwahitaji viongozi wa aina hii. Mimi wala siitetei CCM. Hili timbwili linaloendelea sasa hivi lazima limeinyoosha CCM kama kweli unadhani imewatenda vibaya wananchi wake. Nchi yetu inamhitaji sana Dr Magufuli
Ndugu wanabodi,
Mjadala mkubwa hivi sasa nchini kwetu ni juu ya nani atakuwa kiongozi mkuu na kwa sasa mazungumzo yanawalenga zaidi watu wawili kwa maana ya Dr John Pombe Magufuli wa CCM na Mh Lowassa kwa upande wa UKAWA. Kwa bahati mbaya sana na kwa kusaidiwa na vyombo vya habari ambavyo kwa...
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi Dr Emmanuel Nchimbi amesema wale wote wanaolalamika hivi sasa kuhusu mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi, ni WASALITI.
Dr Nchimbi ambaye pia ni mjumbe wa Kamati kuu ya CCM amesema watu hao ni walafi wa madaraka na ni...
Ndugu Wanabodi,
Sote tunakumbuka kilichotokea Dodoma baada ya Uamuzi wa Kamati Kuu (CC) ya CCM kukata jina la Edward Lowassa. Mjumbe CC Dr Emmanuel Nchimbi pamoja na "wanene" wengine ndani ya CCM walieleza kutoridhishwa kwao na uamuzi huo. Hali hiyo ilifanya baadhi ya watu (nikiwemo mimi)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.