Kingereza ni lugha tu na sio kua ukijua kingereza ndio utaonekana msomi au unauelewa mkubwa wa mambo...tatizo ni pale watanzania tunajihamba kutumia lugha ambayo mtu unatakiwa kuijua kwa juhudi zako...
kwan ni lazima yule kapewa hiyo huduma coz hakua miongoni mwa waandamanaji....andamana ufe uone kama utapewa ata sh. mia ata familia ikikataa kukuzika utazikwa na manispaa...upinzani unatakiwa kuelewa kuna baba wa familia na vijana wa familia so huwezi kua chini ya baba afu unataka kumwambia...
2025 Ni zamu ya akina Cassim...Abdalah...Hassan...Juma....Nadhani hii inaeleweka jamani ko labda apikike hadi 2035. na 2025 itabidi awe sehemu ya Majaliwa ili kuzielewa Wizara zilivo na changamoto zake...ila huu ndio ukweli Tanzania inahtaji kiongozi wa kufanya sio wa kujaribu tena.[emoji817]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.