Mchemiaa
Senior Member
- Jan 7, 2018
- 174
- 188
hivi nyie walimu wa kiswahili bado hamjaamishiwa shule ya msingi?Msiwe mnatumia maneno msiyoyajua vema! Kwani kuna puru ngapi katika mwili wako? Na tangu lini kukawa na puru ya mbele na nyuma? Nendeni darasani kusoma na sio kujifunza kutumia simu na kukua!
jinga kabisa ww