Siasa si uadui.
Yeyote anaweza kuwa mwanachama wa chama chochote muda wowote, hakuna haja ya kujisikia vibaya, ni kama kwenye familia Mtoto kumuona Baba yake anachangia chama tofauti na chama anachokikubali yeye.
Hongera sana, hata wizara ya afya ulijitahidi. Na huku pia unastahiki pongezi za dhati, nasi tunakupongeza kwa utendaji wako, pokea pongezi za dhati kutoka katikati ya nyoyo zetu.
Kwani si tulikubaliana wazanzibari hawana akili? Hawana vichogo! wanaishia kusoma madrasa tu? Na ni walegevu kwa kula urojo!!!
Imekuaje tena au kuna vikao sisi huku Kajunjumele hatukushirikishwa!
Simply ni disrespect to God.
Kumdhalilisha binaadamu kwa kumfananisha na mnyama kwa sababu ya sura yake ni act of disrespect kwa aliemuumba kuwa binadamu wala sio mnyama wa porini.
Sera ya Ubwabwa ni sera kubwa sana kwa nchi hii.
Hii sera ilikaribia kuteka fikra za watanzania serikali ikapiga marufuku uwepo wa ubwabwa kwenye kampeni wakidai ni Rushwa, wakati ambapo viongozi tofauti wa CCM wameshawahi kuonekana wakishiriki kupika ubwabwa kwenye kampeni zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.