Ukabira na uongozi huwezi vitenganisha , mfano Kuna kabira la watutsi , kwa afrika nadhn wao wamebarikiwa sana kwa swala la uongozi na wamezaliwa kuwa viongozi
Ukabira na uongozi huwezi tenganisha coz Kuna makabira yameumbwa kwa ajili ya kuwa viongozi ,
Kwamfano, watutsi
Ila tuache ushabiki , Mimi Ni ccm kijani lakin Hili la rais kuhamishia shuguki za serikali nyumbani kwake sikubaliani nalo , na CDM kuamua kujiweka karantini kwa ajli ya afya zao wako sahihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.