Msemajj wa Police hadi sasa Kimya au kasema lolote jamani. Ngastuka na huu utapeli wa kitoto ambapo inaleta hisia Kali kukabiliana na huu ubabe wa kuvunja amani tuliyonayo kwani kila kiumbe kina mwisho wake wa kuvumilia
Tz ya viwanda au kutafuta kunyanyasana bila hatia, Huyu Kijana ana Viwanda piia nadhani anafikiri zaidi ya hayo kwa Mustakabali wake na Nchi yetu, Haya yanayoendelea ni picha za Kihindi ambapo binafsi nazichukia sana kwani uongo mwingi kuliko halisia.Pussycat kwa yoyote aliyehusika. Unaona...
Aidha cdm hawana ulazima wa kuomba msamaha kwa kuwa hakuna kosa waliofanya kwa uelewa wangu, Serikali ndio wa natakiwa kuomba msamaha kwa sababu TL alishasema kuna watu wanamfutilia lakini hakupewa Ulinzi stahiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.