Recent content by mahirtwahir

  1. mahirtwahir

    Ni Biashara ipi iko na faida mzuri

    Waungwana naomba munisaidie mwenzenu nimejichanga na kupata TZS 40,000,000/ ila kwa kweli nimeshidwa kuona ni Biashara gani ya kufanya Naomba msaada kwenye tuta wasichana wasije kuchungulia mifuko yangu
  2. mahirtwahir

    Nahitaji mume hata nikiwa mke wa pili sawa tu

    Njoo inbox tuyajenge kama uko tayari nami niko na hitaji hilo hilo
  3. mahirtwahir

    Nisaidie mawazo niko njia panda

    Kwa ukweli mke wangu kaaamua kuniacha na kuondoka kwenda kwao . Ni mkasa mrefu sana ila tatizo sio kuenda kwao tatizo ameindika na watoto wangu 2 mmoja miaka 7 na mwengine 3 nimemuambia anipe niwalee hataki anasema kwangu watasumbuka nimemuomba aje tuwalee hataki anasema hayuko tayari kuishi...
  4. mahirtwahir

    Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

    Hapana yeye ndio anakosa hata katika kikao aliambiwa na kuanuriwa arudi nyumbani
  5. mahirtwahir

    Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

    Hili ni kweli kabisa wazee washatengana na story ya wazee wake ilikua kama hii yangu haina tofauti
  6. mahirtwahir

    Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

    Vyombo nimenunua mimi ila ni mahari yake kwa hio kidini mie sio vya kwangu ni vyake
  7. mahirtwahir

    Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

    kaka nishasema ila tatizo anaonekana kua na misimamo ya kutojali
  8. mahirtwahir

    Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

    kwanza ndio mke huyu huyu mwenye mkasa huuu nilienda kwao katika ugonvi huu nikajishusha basi akarudi tukaishi na akaondoka tena mapema mwezi wa saba kwa kosa hilo la kimtandao
  9. mahirtwahir

    Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

    Unajua wanawake ugonvi wa mwanzo umeisha ila ulipokuja na wa mwanzo umezuka
  10. mahirtwahir

    Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

    Kwa sasa yuko na miaka 25
  11. mahirtwahir

    Mke wangu ananipiga vijembe WhatsApp

    Habari wenzangu. Jamani ukweli nimebaini mke wangu anamatumizi mabaya ya simu, nilikutana sms yeye anasema ni rafiki yake ila mie sikuipenda kwa hio nikakosana naye akaenda kwao nami nikabaki kwangu sasa ni zaidi ya miezi 4 basi vikao vikawekwa akakubali kurudi ila naona amekua mkali ukisema...
  12. mahirtwahir

    Penzi la jini linaifanya ndoa yangu kuyumba

    Habari wakuu. Niko na mikasa mingi ambayo inanichanganya kichwa. Mnamo mwaka 2015 ilitokezea siku moja Mke wangu wakati wa mechi ghafla alibadilika alinipa shooo ya ajabu ambayo sikuipata toka nilipomuowa zowezi hili lilikua kama kwa muda wa week 1 mfululizo niliinjoi sana licha ya kua na...
  13. mahirtwahir

    Mke wa mtu kuwa na Rafiki wa kiume

    Mkuuu ni sawa mkuuu ushauri wako umeenda shule
  14. mahirtwahir

    Mke wa mtu kuwa na Rafiki wa kiume

    Habari waungwana ? Leo nimepata swali kutoka kwa Rafiki yangu kua mke wake simu haikai chini anakuambia kuwa ni marafiki tu hana mpango naye ila anaongea nao sana akiwa mume wake hayupo. Tena anaongea na hao wanaume zaidi ya kawaida maana ameshaona ameongea na huyo mwanaume dakika 56. Je, huu...
Back
Top Bottom