Recent content by mahindi97

  1. M

    Kushuka thamani kwa TZS dhidi ya USD ni speed ya 7G

    Tunduma Dollar 100 Tunanunua kwa 2483
  2. M

    Bado natafuta connection ili biashara yangu iweze kukua

    Broe sio kebehi mimi mwenyewe ni muuza nguo tena nauza lonya Ninauza Dg Dar 10000 mimi nauza 11000 bei ya jumla nauza suruali 13000 Dar Nanunua 12000 Nineuliza kuhusu bei za soft jeans ili nipime bei zake kadeti tunachukua 12800 dar bei ya jumla Tunduma tunauza 13500 hadi 14000 ko nataka nijue...
  3. M

    Bado natafuta connection ili biashara yangu iweze kukua

    Sema hao wengi ni wauza lonya huyo kimboli ni miuza tishet at least michael sema shida sina namba ya michael nikipata kesho ntakupa
  4. M

    Bado natafuta connection ili biashara yangu iweze kukua

    Maboss wapo kaka Ukifika Kariakoo Ulizia Nondo kuna Zebedayo kuna Maiko Kuna Kimboli hao ni Maboss wakubwa ila Kukukopesha bila kuanza nao biashara mdogo mdogo ni kazi kidogo kwa Mfano huyo Nondo Kuna Braza Moja Hapa Tunduma Ni Mwanangu Juzi Kati Kakopa Mzigo Wa 20 million
  5. M

    Bado natafuta connection ili biashara yangu iweze kukua

    Kuna suruali ipo lonya hapo kaka mstari wa nne kutoka juu upande wa kulia ni lonya unauza pei gani pia softjeans unauza jumla bei gani ili nipine range ya bei zako mkuu
  6. M

    Bado natafuta connection ili biashara yangu iweze kukua

    Watu wapo kaka ila sio kirahisi inabidi mpaka ufanye nao kazi kwa kiasi flani mjuane lakini ghafla bin vuu kukopesha ni kazi kaka
  7. M

    Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

    Congo siendi hata bure
  8. M

    Nifanye nini nisiwe hanithi

    Mana Kuna sheikh moja aliniuzia Yuko huku tunduma
  9. M

    Nifanye nini nisiwe hanithi

    Imetengenezwa kwa mchanganyiko wa asali,mdalasini,tangawizi na mazaga zaga mengi iko poa
  10. M

    Nifanye nini nisiwe hanithi

    Kuna dawa moja inaitwa shamsi power control iko powa sana
  11. M

    Kama kweli huu ni ushauri wa Abdi Banda kwa Orlando Pirates, basi akapimwe akili

    Ana stress bro kutoka kuchezea 🦁 mpaka South Africa Hadi mtibwa unategemea Nini mkuu Kama sio stress
  12. M

    Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

    Duhhh ulikuwa ulifanya Jambo la hatari Sana shida inako anzia wengi wanafanya hivo kwaio balance inakuwa haisomi
Back
Top Bottom