Makumbele you did a nice job, don't ever get discouraged when someone throw stones at you....!
More tips should be shared to the authorities just to make a world a better place!!!
Once again HONGERA KWA MCHANGO MADHUBUTI....!
Ungekuwa na LIPA namba ningetuma humo 5,000 TZS ukanywe soda baridiiiiii
KISWAHILI hapa kwetu imeandikwa sehemu mbalimbali, kwenye hotuba za viongozi na matamko rasmi.....!
Waziri Mkuchika amewahi kutoa mwongozo , Kwenye mitaala ni lugha ya kufundishia......
Kwa profesa wa sheria, Anaweza akawa alisoma siku nyingi sana kuhusu vyanzo vya sheria (Sources of Law). Ama kwa mapana yake Sources of Constitution (constitutional Law)
Katika kuelezea hili, Sheria ina vyanzo vingi...... MIKATABA , MAAMUZI YA MAHAKAMA, MIKATABA na kadhalika...!
Sheria zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.