Recent content by maherishalalhashbaz

  1. maherishalalhashbaz

    IPTL kushusha bei ya umeme kutoka sh 450 hadi sh 80 kwa Uniti

    Mungu saidia maana Tz walugaluga sana.
  2. maherishalalhashbaz

    Startimes na vingamuzi vyao

    Wana roho mbaya tu, hizi channel tunazoziangalia ziko free zinahuxika nn na wao? Waziachilie km vp tuna hama startime. Ving'amuzi viko vingi ss.
  3. maherishalalhashbaz

    IPTL kushusha bei ya umeme kutoka sh 450 hadi sh 80 kwa Uniti

    Mmmmm!! Jaman wabongo cc ni tumenyonywa vya kutosha.
  4. maherishalalhashbaz

    Angalia nyoka mkubwa zaidi duniani

    Huyo Horned viper hata kwa macho anatixha man wangu
  5. maherishalalhashbaz

    Mahakama ya Kadhi yatoa fundisho la Amani kwa Wakristo

    Ni hatari kubwa kwa umma na Taifa kwa ujumla kuchanganya udini ndani ya Serikali. Ndg zangu Waislam wala msichukie kwa kutokuwepo kwa mahakama ya kadhi ndani ya katiba yetu.
  6. maherishalalhashbaz

    Kushafanya mapenzi na mwanamke mara ngapi huwa unaacha kutumia condom?

    Virusi njenje jamani.. Duuuuuuh hamna wa kupona hapa.
  7. maherishalalhashbaz

    Anaomba ushauri, mume wake hajamgusa mwaka mzima kisa amefunga

    Jaman ndani ya muongozo wa vitabu vya dini hakuna mfongo wa namna hiyo wala uhalali wa kumtenda mke wako wa ndoa, 1wakorintho 7:1-5 ( hii ni kwa wale walio wa Kristo)
  8. maherishalalhashbaz

    Lowassa, mazoezi ya picha ya nini na unamuonesha nani?

    Utaifa umekufa na kuzaliwa umimi, miaka 10 mbele ni htr hp Tz
Back
Top Bottom