Recent content by Maher-shalal-hash-baz

  1. M

    Ripoti WHO: 73% ya Nchi duniani hazina Sera ya kupunguza Matumizi ya Chumvi, Vifo Milioni 5 vinatokea kila mwaka

    Kila kitu nongwa juzi walisema wanaume wanao penda sex wanakufa Mapema Sasa am ovwesi nachanganyikiwa
  2. M

    Wizara ya Ardhi haitaki kuwalipa wataalamu wake?

    Wamewajibu Tena kwa Walaka ila hawataja Tarehe wamesema tu wiki ijayo Sasa sijui ndio inayo anzia Kesho au inayo anzia jtatu ijayo
  3. M

    Wizara ya Ardhi haitaki kuwalipa wataalamu wake?

    TP. Raia Mtanzania na wewe ni mmojawapo wa Mlio Pigwa hapa au we ni Mwana Habari reporter Mwema?
  4. M

    SoC01 Jahazi la Elimu Tanzania

    Bado nasoma nikimaliza nita reply
  5. M

    Jifunze fursa 6 za biashara mtandaoni

    Hata niki comments Moderator hua hazipitishi, nasoma kimya kimya tu
  6. M

    Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

    Huyu aende zake atuondolee huo ujinga. Labda aje ashauri mwingine tutamuelewa
  7. M

    Vifungashio vya plastiki mwisho Aprili 8

    Busy na Mifuko ya plastic ambayo kimsingi mi sijaona inachafuaje Mazingira, Miti inakatwa kila siku na haipandwi mipya, watu wanasafisha misitu hekali na ma hekali kwa ajili ya kilomo hakuna hata tozo za uharibifu wa mazingira, watu wanakojoa wakiwa wanaogelea baharini hata halisemewi tupo busy...
Back
Top Bottom