Recent content by mahende peter

  1. mahende peter

    Niseme tu namkubali sana Prophet Lovy Elias (Tarehe 08/12/2023 sio ya kukosa)

    sjawai kumskliza ila nilshangaa kumuona kwenye picha sku wanashuka airport akiw kachora tatoo
  2. mahende peter

    Tanzania ukitaka kutajirika wekeza kwa wajinga na masikini

    binafs nmekuelew sana taikon mzee wa fasihi na kila niksoma andiko lako kuna dalasa huw nalpata sku moja utapata mlejesho wng [emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mahende peter

    DOKEZO BoT, TCRA na TRA hivi hizi Taasisi za Mikopo ya Online zipo Kisheria na zinalipa kodi?

    haina haja ya kuscreenshot ww nenda play store andk mikopo mtandaoni zpo kibao zaid ya hzo hapo
  4. mahende peter

    Binadamu: Kiumbe chenye chanzo kisichojulikana, yupoyupo tu hana mwanzo wala mwisho

    Mkuu haya maswall unayojiulza bila kuw na majb, Kwangu mm ni kama Leo umekuja kwenye fikla zang inawezekn vp yaan !? Ni vyema tupate haya majb kw wajuv wa haya mambo!
  5. mahende peter

    Uchawi vs akili

    Mm siamin ktk uchaw ila nachojuw uchaw upo na unafanya Kaz kw wanao utmia, Na kw ujumla wake uchaw hauna faida yyte kwangu mm lkn
  6. mahende peter

    Uchawi vs akili

    ww fuklia mchaw ana uwezo wa kusafil kw spid ya haraka kw ktumia hzo nyenzo zake, Mfano ndege ktoka dar mpak mwnza ni dkk km skosei 45 lkn mchaw na usafil wke ni tendo la kufumba na kufumbua tu, Hapo sayans ipi Iko mbele zaid
  7. mahende peter

    Uchawi vs akili

    sayans inaanzia pale uchaw ulipoishia chunguza kw makin utaelew !! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mahende peter

    Bariadi: Mabinti Mapacha wa shule wafariki wakiongezwa matiti na mganga ili waolewe

    wakiwa wp hospt au ndio ile taarf ya jana kwa mganga wa kienyej
  9. mahende peter

    Njia mpya ya wizi wa kwa miniwa/Utapeli Mjini

    huyo aliekpgia sim ww binafs una mfaham au ? na km humjui uliweza kumhoj no yk kaipataje
  10. mahende peter

    Huyu Nabii anayesema Mei 2024 Dar es Salaam itaangamia ni nani?

    Huyu jamaa ameanzia tar 1 mwez wa 4 _2024 kwanza tar hyo Huw ni cku ya wajinga Dunia so msihadaike Ni lijamaa tu limekaa zake sehem limekula limevimbiw likaamua kuwastua wabongo hapo linawachek mnavopata taabu
  11. mahende peter

    Kitendo cha Jaji Mugasha kukosoa mamlaka hadharani ni utovu wa nidhamu, sio ushujaa

    ww mwenyew umesema ni mkulima hujui mambo ya sheria so kinachokuwasha ni nn? Huyu ni jaji mtaalam was Sheria anazungumzia sheria iilvokiukwa ni vema ungetulia km hujui kitu sio Kila jambo ......
  12. mahende peter

    Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

    yaan mm sjaelew ww uligunduaje km ni mchaw ufafanuz pls il niweze kutoa ushaul utakaokusaidia
  13. mahende peter

    Nini kinaendelea kwenye huduma ya songesha kutoka Vodacom

    utaratib wa kukopa ukoje wadau tafadhal muongozo
Back
Top Bottom