Hao ni wezi tu namba za simu zinazopita ndani ya runinga utume MPESA ukituma ni jina la MTU binafisi wala sio la kanisa wezi wala sio wafanyabishara ni wezi PESA wazipatazo hujenga mashule yao magesti majumba ya watoto wao he yesu na yohana walifanya hayo hao ni wezi
Asaini wapi kitabu na yuko mwenyewe amwonyeshe kwa AFISA ELIMU hakumpa uratibu mratibu awe mwalimu Wa hiyo shule wivu Wa pikipiki aliopewa na RC na ampandishe huyo Jimbo la kawambwa
Swala la urithi ni kweli arithi baba au mama je ni vyema baba arithi mali ya mkewe alefu atumie kwa wanawake wengine au mama alithi mali ya mmewe atumie kwa wanaume wengine watoto warithi mali ya MZAZI wao MZAZI atunzwe na watoto wake kosa hapo watoto hawatunzi MZAZI wao wapumbavu
Alikuwa treni ili basi uliyokuwa nyuma yake isiwahi wakati ikisubiri yéyé awe mbali na abiria basi ikipata ajali majeruhi wawe wanashitakiwa kwa uzembe Wa kutwomwonya dreva na kumchukulia hatua ikiwamo ya kugoma kuendelea na safari kama dreva mwingine hataletwa ikifanyika hivyo madreva wafuuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.