yani hyo haijajazwa kabisa. hata mimi ni hvyo hivyo. sasa hatjaelewa kama tumepata au vipi. maana inaonesha tu vipengele vya mkopo lakini haioneshi kiasi.
jaman kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu teku siku ya kuwasili kwa firs year students please atwambie. kwasababu kwenye web yao wametoa majina tu hawajasema ni lini watu waanza kufka chuoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.