Mahcyn Aliy
Member
- Aug 8, 2016
- 37
- 3
- Thread starter
- #21
thAnks mkuu kwa kunipa moyoUsimtishe mkaka wa watu teku ni chakawaida cha muhimu ni kusoma tu jipange uende kusoma
thAnks mkuu kwa kunipa moyoUsimtishe mkaka wa watu teku ni chakawaida cha muhimu ni kusoma tu jipange uende kusoma
Nilinunua suti kwali kweli kwa elf 30 tena labda nilipigwa! Suti hiyo hiyo Arusha ni 300kwatu hamna dogo mkishindwa ishi mbeya sijui mtaishi mkoa gan coz gharama za maisha zipo chini mno
mbeya city. Block T..naomba kuuliza chuo kiko wapi Hichi?!
thanx... nimepangiwa bachelor of science in environmental studies.Karibu mkuu utatukuta tunapiga msuli pale
asantt mkuu...Teku kiko poa Ile mbaya kwanzia hostel, MI jengo ya kusomea yan full japo night Kuna ka baridi kake asikwambie m2
Karbu xn mkuu c ndo wwnyeji wako aiseeasantt mkuu...
naomba namb zako please. nikija nkutafute.Karbu xn mkuu c ndo wwnyeji wako aisee
asant mkuuKrb teku aseeh utatukuta tu npo BEDMATH..3YR
ndio.. Tabora na Dar es salaam ni matawi. HQ yao ni mbeyaTEKU c na Tabora pia kipo jamani maana mm nmesoma Tabora Nlikuw Nasikia kuna TEKU