Recent content by Mahash

  1. M

    Mkaa na Mbao

    Nitaiji kampuni ambayo inawez ku export mkaa kwwnd nje kila mwez kw kontena la futi 40, kama unavo vigezo nichek
  2. M

    Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

    Mpak hapo milion 50 na point inafika, ila bati nimetumia versatile, nazan ukitumia bati za kawaid izi za migongo mipana inawez bei ikawa chini kidog
  3. M

    Nataka hii iwe nyumba ya ndoto yangu. Nani anaweza nisaidia makadirio?

    Mim nimejeng kam hio ila nd nimeipiga plasta nje na ndani nimefany blandering tayr, nimepiga zege chini ila sio vyumba vinne yang ni ya 3, na raman naon mama zinaendan nahii,
  4. M

    Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Bro usiogope mim nimejenga vyumba 3 ila nyumba kubwa san, saiv najipana na usaf
  5. M

    Naomba kujuzwa gharama za kujenga fensi ya ukuta kiwanja cha 20x30

    Vipi brother ulifanikiwa kuwek ya waya?
  6. M

    Wakuu Kwema;nikiwa na milioni 20 naweza kujenga nyumba ya vyumba vingapi maeneo ya Bagamoyo?

    Bro umeelezea vizr mim, yangu ya vyumba vitatu, vyote selfie, sitting room, dining, jiko master ina dressing room, nishapiga bati tayr na shaweka magrills, nataka mwakan nianze kufanya usafi je kwa uzoefu wako nikiwa na 20m nawez kuimlz kunifanyia usafi bila fensi.?
  7. M

    Computer4Sale Nauza laptop

    Vipi ushapat mtu
  8. M

    Nitumie mabati gani kati ya Bomba na Dragon?

    Vipi mkuu mrejesho Wa hizo bati
  9. M

    Natafuta gari ndogo ya kukodi kwa ajili ya mizunguko Dar

    Sas mzee nimekupa option useme security nifanyaj?
  10. M

    Natafuta gari ndogo ya kukodi kwa ajili ya mizunguko Dar

    Aaah mzee hizo sio pigo zangu
  11. M

    Natafuta gari ndogo ya kukodi kwa ajili ya mizunguko Dar

    Security utanimbia unatak nin passport yang au kitambukisho au lesen utakacho niambie tafuat kuhus security, vitambulisho vyote navyo
  12. M

    Natafuta gari ndogo ya kukodi kwa ajili ya mizunguko Dar

    Natafuta gari ndogo ya kukodi kw ajili ya mizunguko ya hapa na pale mim sio mkaaj WA Tanzania nakuja tu likzo ya muda mchache. Kama kuna mtu anakodisha gari yake kwa siku 30 had 40 aje inbox. Please Gari nahitaji kuanzia ijumaa hii au Jumamosi.
  13. M

    Msaada: Maelezo kuhusu Akaunti ya benki ya CRDB

    Kadi after two weeks how comes?
Back
Top Bottom