Mim nimejeng kam hio ila nd nimeipiga plasta nje na ndani nimefany blandering tayr, nimepiga zege chini ila sio vyumba vinne yang ni ya 3, na raman naon mama zinaendan nahii,
Bro umeelezea vizr mim, yangu ya vyumba vitatu, vyote selfie, sitting room, dining, jiko master ina dressing room, nishapiga bati tayr na shaweka magrills, nataka mwakan nianze kufanya usafi je kwa uzoefu wako nikiwa na 20m nawez kuimlz kunifanyia usafi bila fensi.?
Natafuta gari ndogo ya kukodi kw ajili ya mizunguko ya hapa na pale mim sio mkaaj WA Tanzania nakuja tu likzo ya muda mchache.
Kama kuna mtu anakodisha gari yake kwa siku 30 had 40 aje inbox.
Please Gari nahitaji kuanzia ijumaa hii au Jumamosi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.