Recent content by Mahara Nguku

  1. M

    Makongoro Mahanga Naibu Waziri anusurika Kipigo

    Tunataka kusikia mmoja wao, kavunjwa mkono au amepata kipigo yuko ICU, au ngeu, mbona hamfanyi kazi ninyi?
  2. M

    Dr Slaa atoa salamu za Mwaka mpya...

    safi sana Gwajima, mwombeeni huyo mzee tunataka awe rais wetu wa tano tz.
  3. M

    Airport Dar kuvuja maji wakati wa Mvua, Mwakyembe anataka kutwambia nini?

    Mwakyembe Harrisson ni mkwara tu, na wasiomjua wanaweweseka na kudhani ni mtu makini, kumbe ----- tu, natoka naye kijiji kimoja namjua kuliko.
  4. M

    Kakobe aeleza mambo matatu ya msingi ili Uchaguzi uwe huru na wa haki

    Tangu lini Kakobe akahusika escrow? au umekurupuka tu?
  5. M

    Kakobe aeleza mambo matatu ya msingi ili Uchaguzi uwe huru na wa haki

    tatizo wengi wanakosoa bila kujua ukweli halisi wa jambo, ktk ebrew 10:25 inasema tusiache kukusanyika pamoja kama ilivyokuwa desturi ya wengine, hao wengine wanaotajwa ni watakatifu wa kanisa la kwanza, baada ya YESU kristo kupaa mbinguni, na walikusanyika siku ya kwanza ya juma, na ktk luka...
  6. M

    Kakobe aeleza mambo matatu ya msingi ili Uchaguzi uwe huru na wa haki

    Kakobe hajaitisha maandamano, labda kama una chuki binafsi na Kakobe, lakini hata hivyo serikali yako ya ccm, inamjua vizuri Kakobe kiasi cha kumwogopa sana, Kakobe anao uwezo wa kuwatungua viongozi wako tangu rais bila woga, na yuko tayari kwa lolote.
  7. M

    Kakobe aeleza mambo matatu ya msingi ili Uchaguzi uwe huru na wa haki

    sijajua sana kama zitauzwa kwa yeyote, ila nitaifanyia kazi then nitawajulisha kesho usiku, na bei ya t.shirt moja ni sh.3500 tu.
  8. M

    Kakobe aeleza mambo matatu ya msingi ili Uchaguzi uwe huru na wa haki

    Katika ibara ya 19 [2] inasema kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiari la mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuia za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi. [maana yake mamlaka ya nchi haitaingilia shughuli hizo.] sasa serikali...
  9. M

    Vijana wa CHADEMA Geita watembea kwa mguu hadi Ikulu Dar es Salaam

    Mimi sio Tundu Lissu, ila napambana kama Tundu Lissu.
  10. M

    Vijana wa CHADEMA Geita watembea kwa mguu hadi Ikulu Dar es Salaam

    Kuna vijana watatu kutoka mkoani Geita, wanakuja kwa mguu kuja kuonana na rais Kikwete ikulu, ili kueleza kero zao kuhusu nchi yao, je? watakaribishwa ikulu? au wataitwa wahuni na wavuta bangi? nakumbuka rais amewahi kuwakaribisha watu wengi ikulu kama Ray c, Diamond, mzee yusufu, n.k, ambao ni...
  11. M

    Vijana wa CHADEMA Geita watembea kwa mguu hadi Ikulu Dar es Salaam

    Wakifika Dar tutawapokea kwa kishindo, na ikulu wataingia wala hakuna wa kuwazuia, aliingia anayehamasisha uzinzi[diamond] sembuse hawa wanaotetea haki zetu, yaani ndio tutajua kama ikulu ni mali ya kikwete na ccm au ni mali yetu wote.
  12. M

    Kakobe aeleza mambo matatu ya msingi ili Uchaguzi uwe huru na wa haki

    Aliongeza kwa kusema kuwa ktk barua yake kwa Kikwete alimuonya kuwa kama hawatatubu uovu wanaoufanya, basi kutakuwa na mgawanyiko kadri muda unavyokaribia mwishoni, akasema mgawanyiko huo utakuwa mkubwa zaidi kuanzia mwezi march, kutatokea mgawanyiko ndani ya jeshi la polisi na jeshi la wananchi...
  13. M

    Rais wangu Kikwete unajidhalilisha sana.

    Tanzania pana kazi kweli, lakini lazima pataeleweka tu kuwa nani hafai, watu na akili zao wanadhani rais kuwakaribisha waimba dansi ikulu ni sahihi? kwani waziri wa utamaduni na ofisi yake kazi yao ni nini? mnajiropokea tu, eti huyu mzinzi kuliko huyu, sasa kama mzinzi sisi inatuhusu nini? sisi...
  14. M

    Rais wangu Kikwete unajidhalilisha sana.

    Tanzania pana kazi kweli, lakini lazima pataeleweka tu kuwa nani hafai, watu na akili zao wanadhani rais kuwakaribisha waimba dansi ikulu ni sahihi? kwani waziri wa utamaduni na ofisi yake kazi yao ni nini? mnajiropokea tu, eti huyu mzinzi kuliko huyu, sasa kama mzinzi sisi inatuhusu nini? sisi...
  15. M

    Rais wangu Kikwete unajidhalilisha sana.

    nisije nikaenda kuvurugana naye bure, maana nitamkosoa mengi sana asije akaniona kama nimetumwa na wapinzani, wakati ni matakwa ya wananchi wa kawaida kama mimi.
Back
Top Bottom