tatizo wengi wanakosoa bila kujua ukweli halisi wa jambo, ktk ebrew 10:25 inasema tusiache kukusanyika pamoja kama ilivyokuwa desturi ya wengine, hao wengine wanaotajwa ni watakatifu wa kanisa la kwanza, baada ya YESU kristo kupaa mbinguni, na walikusanyika siku ya kwanza ya juma, na ktk luka...
Kakobe hajaitisha maandamano, labda kama una chuki binafsi na Kakobe, lakini hata hivyo serikali yako ya ccm, inamjua vizuri Kakobe kiasi cha kumwogopa sana, Kakobe anao uwezo wa kuwatungua viongozi wako tangu rais bila woga, na yuko tayari kwa lolote.
Katika ibara ya 19 [2] inasema kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa huru na jambo la hiari la mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuia za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi. [maana yake mamlaka ya nchi haitaingilia shughuli hizo.] sasa serikali...
Kuna vijana watatu kutoka mkoani Geita, wanakuja kwa mguu kuja kuonana na rais Kikwete ikulu, ili kueleza kero zao kuhusu nchi yao, je? watakaribishwa ikulu? au wataitwa wahuni na wavuta bangi? nakumbuka rais amewahi kuwakaribisha watu wengi ikulu kama Ray c, Diamond, mzee yusufu, n.k, ambao ni...
Wakifika Dar tutawapokea kwa kishindo, na ikulu wataingia wala hakuna wa kuwazuia, aliingia anayehamasisha uzinzi[diamond] sembuse hawa wanaotetea haki zetu, yaani ndio tutajua kama ikulu ni mali ya kikwete na ccm au ni mali yetu wote.
Aliongeza kwa kusema kuwa ktk barua yake kwa Kikwete alimuonya kuwa kama hawatatubu uovu wanaoufanya, basi kutakuwa na mgawanyiko kadri muda unavyokaribia mwishoni, akasema mgawanyiko huo utakuwa mkubwa zaidi kuanzia mwezi march, kutatokea mgawanyiko ndani ya jeshi la polisi na jeshi la wananchi...
Tanzania pana kazi kweli, lakini lazima pataeleweka tu kuwa nani hafai, watu na akili zao wanadhani rais kuwakaribisha waimba dansi ikulu ni sahihi? kwani waziri wa utamaduni na ofisi yake kazi yao ni nini? mnajiropokea tu, eti huyu mzinzi kuliko huyu, sasa kama mzinzi sisi inatuhusu nini? sisi...
Tanzania pana kazi kweli, lakini lazima pataeleweka tu kuwa nani hafai, watu na akili zao wanadhani rais kuwakaribisha waimba dansi ikulu ni sahihi? kwani waziri wa utamaduni na ofisi yake kazi yao ni nini? mnajiropokea tu, eti huyu mzinzi kuliko huyu, sasa kama mzinzi sisi inatuhusu nini? sisi...
nisije nikaenda kuvurugana naye bure, maana nitamkosoa mengi sana asije akaniona kama nimetumwa na wapinzani, wakati ni matakwa ya wananchi wa kawaida kama mimi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.