Recent content by Mahandepr

  1. Mahandepr

    Ngozi nyeusi ina laana ya milele

    Naandika kwa hekima nisije kuambiwa nimetukana lkn hebu tufikirie Nyerere aliiacha nchi ikiwa na raslimali kiasi gani, na zimetusaidia nn km nchi mpk saivi tunakopa hela za covid kujenga maharasa. Tuna maji kila kona ardhi nzuri nchi nzima,lkn tunaagiza ngano na mafuta ya kula nje.bado nchi ni...
  2. Mahandepr

    Naona viongozi wa Yanga wanakomalia kualikwa kwenye mkutano wa CAF

    Mbona Namungo, Mtibwa na wengine hawajalalamika? Tofauti Yao ni nn huko CAF?
  3. Mahandepr

    Msaada: Hotel, Lodge nzuri Moshi

    Sangana Iko majengo Rose garden
  4. Mahandepr

    Je, Mungu alichoka mpaka akapumizka siku ya Saba?

    Alipumzika maana hakufanya kazi yoyote siku hiyo, siku sita za nyuma alifanya kazi.siku hiyo hakufanya. Na hiyo siku aliibariki na kuitakasa. Mbona inaeleweka. Kupumzika Haina maaana umechoka ila unaacha kufanya kitu au kazi uliyokua unafanya.
  5. Mahandepr

    Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

    Yaani dah, unaishi duniani Kwa ajili ya nn. Kama huwezi acha si Bora ufe tu,mwanaume mwezangu anikojolee? Ningekufa siku hiyo hiyo.
  6. Mahandepr

    Waamuzi dhidi ya mechi za Simba

    Timu Yako imeonewa? Ww ni muarabu? Unahangaika nn na Simba ya watu wakati timu Yako na mbabe wake wote walitokewa zamani, we kama huwezi kuangalia burdani kaangalie taarabu huko
  7. Mahandepr

    Manara: Yanga yauza jezi mara tano zaidi ya klabu nyingine

    Ni kwamba msimu unaelekea mwisho zisije kubaki wakati msimu mpya zitatoka zingine
  8. Mahandepr

    Manara: Yanga yauza jezi mara tano zaidi ya klabu nyingine

    Akikujibu nishtue nna soda yako
  9. Mahandepr

    Manara: Yanga yauza jezi mara tano zaidi ya klabu nyingine

    Wameuza ngapi hebu waweke idadi na idadi ya hizo timu zingine, maana mambo mengine wanaongea Tu kama machizi
  10. Mahandepr

    Ukweli mchungu: Chama kafeli ligi ya Morocco

    Ww maisha ya chama yanakuhusu nn, amefeli? We umefeli mangapi kwenye maisha yako mpk unahangaika na mtu ambae account yake inaingiza Dollar kila siku?
  11. Mahandepr

    Hongera Kitengo cha Propaganda cha Yanga

    Hahaha, mmemuua mleta mada
  12. Mahandepr

    Halmashauri ya Siha wafurahishwa Ded na DC kuhamishwa, wamsubiria Das Mabiti

    Ok haiwezi kuwa kabila Zima japo hao waliounda utatu mtakatifu wamechafua kabila Zima, alaf soma tena habari yenyewe utaelewa inahusu watumishi wengi wa Siha kushangilia hao jamaa kuhamishwa, sio tofauti ya mtu mmoja ni wengi wameteswa
  13. Mahandepr

    Halmashauri ya Siha wafurahishwa Ded na DC kuhamishwa, wamsubiria Das Mabiti

    Duh hatari sana, lakini pia nchi yetu haina utawala wa Sheria, yaani mtumishi wa umma anawekwa mahabusu mwezi mzima na hajaiba, hajahatarisha amani yoyote? Anatoka hana kesi ya kupelekwa mahakamani? Dah bas tu Tanzania yetu hii
  14. Mahandepr

    Halmashauri ya Siha wafurahishwa Ded na DC kuhamishwa, wamsubiria Das Mabiti

    Sasa huo ushamba waliutoa wapi, wa kuteuliwa tu na kuanza kunyanyasa watu uliowakuta, just imagine mtu ametumikia nchi miaka 30 alaf linakuja lishamba linakutesa mahabusu mwezi mzma Bila tuhuma za kueleweka alaf linakufukuza kazi
  15. Mahandepr

    Halmashauri ya Siha wafurahishwa Ded na DC kuhamishwa, wamsubiria Das Mabiti

    Aisee hao jamaa ni zaidi ya wanyama, sio binadamu kabisa, nikiambiwa wana watoto naweza kataa, wamenifanya nione wasukuma kama kabila la ovyo kuliko wote Tz,
Back
Top Bottom