Recent content by Mahagata

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hai: Freeman Mbowe azindua kampeni kwa kishindo, apokelewa na Mabango, shangwe za Mwamba tuvushe zarindima

    Ccm hiki kinachofanyika kwa uchaguzi huu ndani ya chadema hamtakaa mkijue. Ukimya was mbowe unamshindo mkuu.Fkilia Yale magalasa yaliyo jiengua na kuingia ccm yalitaka kujua chochote yakabiwa uchaguzi in process hivyo uchaguzi ndani ya chadema ulianza mapema,ndo maana mipango ilubaki kwa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Barua mahsusi kwa Tundu Antipasi Lissu

    Mawazo mazuri sana tuko hapa kuhakikisha maoni yote yenye kujenga tunayachukuwa na kuyafanyia kazi ujumbe umefka.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rufaa ya kugombea Ubunge wa Suzan Kiwanga

    Hii siyo tume in tumwa.Inatumwa na maccm kufanya lolote.Haifai hata kidogo.Chadema nao wamekuwa watu wa matamko bila vtendo.mnaboa sana.Nende na nyomi yakutsha skumoja kwa msima mmwambie tunakwenda na familia yako. Sasa kila ngoma ya tumwa chadema mnacheza tu.Sasa so mseme basis kwa vtendooo ahaa.
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

    Hii tume haitakaa itende haki maana inamilikiwa na aliyeiteuwa na aliyeiteuwa haamini katka kutenda haki, je itatendaje haki kwa hali hiyo.Hizo rufaa zilizo kubariwa naona kama ni usanii tuu,tena wanapima upepo.Vyama upinzani visiishie tu kwenye matamko vitambue wananchi wengi wamesha choka na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ester Bulaya aiua CCM Bunda kifo cha kikatili mno. Uzinduzi wa kampeni wadhihirisha

    Bunda mmetisha fukuza hao ccm mbali kabsa.nikirusi zaidi ya corona.
Back
Top Bottom