Uchaguzi 2020 Barua mahsusi kwa Tundu Antipasi Lissu

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Salamu to you the Sixth president of the united republic of Tanzania!

Baada ya salamu ningependa niende moja kwa moja kwenye kusudio la barua hii. Lengo la waraka huu ni kukushauri ukipata nafasi uyasemee haya yafuatayo kwa mapana yake na kwa Lugha shawishi ili Chama chetu kishinde kwa kishindo uchaguzi huu wa 2020.

Mosi, KUWALIPA KIFUTA MACHOZI FAMILIA ZA WALIOPOTEZWA AU KUUAWA KATI 2016 HADI 2020.
Watu walio potezwa au kuuawa kikatili kisiasa ni wengi na familia zao zina uchungu usio isha. Napendekeza ulisemee hili kuwa ukiingia madarakani utawafuta machozi familia ambao wapendwa wao walipotezwa kuuawa kisiasa. Nia ni kuleta amani na utulivu katika jamii.

Pili, KUWATOA MAGEREZANI MASHEIKH WOTE WALIO MAHABUSU NA MAGEREZANI KWA SABABU ZA KISIASA NA KUWALIPA KIFUTA JASHO.

Hakika kuna kundi kubwa sana la Masheikh ambao wamefungwa kwa sababu za kisiasa na wengine tu kwasababu wanaikataa BAKWATA au wanashinikiza wawe na mahakama ya kadhi.Ahidi kwamba ukiingia madarakani utawatoa haraka pamoja kuwapa kifuta jasho ili kiwawezeshe kurudi uraiani na kuendelea na maisha yao.

Tatu, Ahidi kinaga ubaga bila kupepesa macho kuwa ukiingia madarakani UTAWAFIDIA WATU WOTE WALIO BOMOLEWA NYUMBA ZAO BILA KULIPWA FIDIA.

Kama kuna watu walionewa kupitiliza ni hawa walio bomolewa nyumba zao. Wengine walikuwa na zuio la kimahakama lakini serikali ya Kidikteta haikuheshimu mahakama wakabomoa. Watu hawa wanahitaji faraja. Ahidi chochote kwao.

Nne, KUWAPA KIFUTA JASHO WAHANGA WA TETEMEKO LA ARDHI KULE KAGERA.
Watu waliofikwa na tukio lile walifedheheshwa sana. Wanahitaji faraja kutoka kwa watanzania wapenda amani na umoja. Sema neno moja tu na roho zao zitafarijika. Walifanyiwa ukatili wa kishetani.

Tano,
AHIDI KUFUTA UBAGUZI WOWOTE KATIKA UTOAJI MIKOPO KWA WANAFUNZI ELIMU YA JUU.
Awamu ya tano wamekuwa wakitekeleza ubaguzi wa waziwazi katika utoaji mikopo elimu ya juu. Imekuwa ni dhambi kusoma shule za binafsi hususan za mashirika ya dini au hizi zinazo itwa St.... hivyo kutositahili kupewa mkopo japo Mwanafunzi anatoka familia ya kipato cha kawaida.

Sita,
AHIDI KUWA MAMA MARIA NYERERE ATAENZIWA KWA VITENDO NA KUPEWA ANAYO STAHILI.
Kumekuwa na tabia ya kutokumheshimu Mama Maria Nyerere hata wakati mwingine kumtumia kisiasa. Baba Wa Taifa aenziwe kwa vitendo ikiwa na kumheshimu mama Maria Nyerere.

Saba, AHIDI KUWAPANDISHA MADARAJA WAFANYAKAZI WOTE WALIO STAHILI KUPANDISHWA MADARAJA KATI YA 2016 na 2020.
Ili kurudisha ufanisi kazi ahidi kuwapandisha madaraja na kuwalipa stahiki zao kila mmoja. Jambo hili litakujengea heshima kubwa sana miongoni Mwa watumishi wa umma.

Nane, AHIDI KUWALIPA WASTAAFU WOTE AMBAO HAWAJALIPWA KATI YA 2016 na 2020.
Kuna kundi kubwa sana la watumishi walio staafu kati ya mwaka 2016 na 2020 ambao hawajalipwa fedha zao pamoja na kuingizwa katika mpango wa kulipwa Pension kila mwezi.

NB ; Makundi haya yapo Nchi nzima na ni wengi sana. Nakuomba tafuta muda Watie faraja watu hawa ambao kwa kiasi kikubwa Rais wa awamu ya tano aliwabeza na kuwafanya wajione dhalili kwenye Nchi yao.

WAPI UTAPATA FEDHA HIZI ZA KUWEZESHA MAMBO YOTE HAYA?

Kwanza napendekeza kwako ufanye yafuatayo.
Ukiingia madarakani, ongeza bei ya petrol tu siyo dizeli au mafuta ya taa, shilling moja kwa kila Lita. Tanzania nzima kuna magari takribani milioni nne yanayo tumia Petrol. Ikiwa kila Gari linatumia lita mbili kwa siku, maana yake kwa siku serikali itakusanya shs milioni 8. Kwa mwezi itakuwa milioni 240! Kwa miezi mitano serikali itakuwa imekusanya takribani shs Trilioni 1 na ushee.

Vyanzo vingine ni pamoja na kuongeza shs 1 tu kwenye vinywaji vikali na sigara kwa muda miezi Sita tu. Kwa kufanya hivyo utaweza kuponya majeraha na kurudisha furaha katika Jamii. NA MUNGU ATAKUBALIKI.
 
Hiyo namba 7 hiyo, ni kuanzia mwaka 2014! Watumishi walioajiriwa mwaka 2014 na wale wote waliopandishwa madaraja kwa mara ya mwisho 2015, mpaka sasa wameingia mwaka wa sita na wengine mwaka wa 7 wa utumishi kazini, bado hawajapandishwa!

Yaani Watumishi wa umma wanaishi kwa mishahara ile ile tangu enzi za utawala wa JK! Tunaposema Magufuli hana faida yoyote ile kwa Wafanyakazi wa Nchi hii, tuna sababu za msingi.

Sidhani kama kuna Mtumishi wa Umma awe Ccm, Chadema au asiye na chama kama mimi atamchagua Magufuli kwenye uchaguzi wa aina yoyote ile. Huyu Mheshimiwa ana roho ya ukatili, ubinafsi, uchoyo, umungu mtu na kila aina ya udhaifu.

Hana roho ya kuguswa na maumivu ya watu wengine! Zaidi tu utamuona kufurahia wazi wazi Watanzania wengine wanapoteseka.
 
Hiyo namba 7 hiyo, ni kuanzia mwaka 2014! Watumishi walioajiriwa mwaka 2014 na wale wote waliopandishwa madaraja kwa mara ya mwisho 2015, mpaka sasa wameingia mwaka wa sita na wengine mwaka wa 7 wa utumishi kazini, bado hawajapandishwa!..
Magufuli ameharibu sana system nzima ya utumishi Wa Umma. Kazi kubwa inabidi ifanyike ili kurekebisha mambo. Kwanza aondelewe kwa kura 28.10.2020
 
Mkuu umeongea mengi.

Nisisitizw hilo ka kuitunza vizuri familia ya Nyerere pamoja na taasisi ya Mwakimu Nyerere.

Serikali ya ccm imeiua taasisi ya Mwalimu Nyerere. Hiyo ni taasisi muhimu sana katika historia ya nchi yetu. Kwasasa inakufa kwa ukata. Wala haihitaji pesa nyingi. Ikisaidiwa mwanzoni hata inaweza kujiendesha.

Angalia taasisi ya Mandela ilivyo effective.

Jambo lingine Lissu na chadema waongelee unyonyaji wa makato kwenye mpesa na transactions za benki. Kuna unyonyaji mkubwa mno.

Nchi zote zilizoendelea hakuna makato hayo. Benki za nje zinakata pesa za Watanzania wakati huko kwao hawakati kitu.

Lingine mambo ya TCRA yaongeleeni.
 
1. ASISITIZE JINSI ATAKAVYOBORESHA KILIMO, UFUGAJI NA MASHIRIKA NA JINSI BAADAE ITAKAVYO BOOST VIWANDA.

2. VETA KWA KILA WILAYA NA JINSI ITAJAVYOKUZA AJIRA BINAFSI PAMOJA NA UCHUMI WA NCHI.

3. TAKUKURU, POLICE, CAG ETC ZIWE SERVICE ORIENTED, UPATIKANAJI WA VIONGOZI UFANYWE NA TUME MAALIM, WATHIBITISHWE NA BUNGE WAAPISHWE NA JAJI MKUU. VIWE HURU.

4. KILIMO NA UFUGAJI, ELIMU ITOLEWE SANA,. RUZUKU ZIWEPO,NDIO AJIRA KIBWA KWA WATANZANIA WALIO WENGI,BAADAE ITA BOOST VIWANDA AND EXPORTS, VIWANDA NI PROCESS SIO KUKURUPUKA TU.

5. AFYA..TUWE NA KITUO CHA AFYA KILA KATA ATLEAST, HOSP ZA RUFAA KILA MKOA.

6. ELIMU ELIMU ELIMU, MITAALA IBORESHWE, ELIMU YA SIASA NA MAANA YA KUWA WAZALENDO IFUNDISHWE.

7. MICHEZO NI CHANZO AJIRA NA FEDHA ZA KIGENI, KUWEPO NA WAALIMU WA MICHEZO KWA KILA SHULE YA SERIKALI (KOCHA) IWE AJIRA RASMI PAMOJA NA VIFAA VYA MICHEZO BUDGETED KABISA. PIA KUANZISHA VITUO VYA MICHEZO KIKANDA NA KURUDISHA VIWANJA VINAVYOMILIKIWA NA CCM KWA SERIKALI NA KUVIBORESHA KUFIKIA ATLEAST LEVEL ZA AZAM COMPLEX.

7. MAWAZIRI WASIWE WABUNGE...



WAELEZA WANACHI MH LISSU...TUNA IMANI SANA NA WEWE.

WATANZANIA WATAKUELEWA.
 
Salamu to you the Sixth president of the united republic of Tanzania!

Baada ya salamu ningependa niende moja kwa moja kwenye kusudio la barua hii. Lengo la waraka huu ni kukushauri ukipata nafasi uyasemee haya yafuatayo kwa mapana yake na kwa Lugha shawishi ili Chama chetu kishinde kwa kishindo uchaguzi huu wa 2020...
cc Chadema Diaspora CHADEMA
 
Salamu to you the Sixth president of the united republic of Tanzania!

Baada ya salamu ningependa niende moja kwa moja kwenye kusudio la barua hii. Lengo la waraka huu ni kukushauri ukipata nafasi uyasemee haya yafuatayo kwa mapana yake na kwa Lugha shawishi ili Chama chetu kishinde kwa kishindo uchaguzi huu wa 2020...
Angalia hesabu zako hapo sio sahihi.... 240M kwa miez mitano ni 1.2 billion...
 
1. ASISITIZE JINSI ATAKAVYOBORESHA KILIMO, UFUGAJI NA MASHIRIKA NA JINSI BAADAE ITAKAVYO BOOST VIWANDA.

2. VETA KWA KILA WILAYA NA JINSI ITAJAVYOKUZA AJIRA BINAFSI PAMOJA NA UCHUMI WA NCHI.

3. TAKUKURU, POLICE, CAG ETC ZIWE SERVICE ORIENTED, UPATIKANAJI WA VIONGOZI UFANYWE NA TUME MAALIM, WATHIBITISHWE NA BUNGE WAAPISHWE NA JAJI MKUU. VIWE HURU.

4. KILIMO NA UFUGAJI, ELIMU ITOLEWE SANA,. RUZUKU ZIWEPO,NDIO AJIRA KIBWA KWA WATANZANIA WALIO WENGI,BAADAE ITA BOOST VIWANDA AND EXPORTS, VIWANDA NI PROCESS SIO KUKURUPUKA TU.

5. AFYA..TUWE NA KITUO CHA AFYA KILA KATA ATLEAST, HOSP ZA RUFAA KILA MKOA.

6. ELIMU ELIMU ELIMU, MITAALA IBORESHWE, ELIMU YA SIASA NA MAANA YA KUWA WAZALENDO IFUNDISHWE.

7. MICHEZO NI CHANZO AJIRA NA FEDHA ZA KIGENI, KUWEPO NA WAALIMU WA MICHEZO KWA KILA SHULE YA SERIKALI (KOCHA) IWE AJIRA RASMI PAMOJA NA VIFAA VYA MICHEZO BUDGETED KABISA. PIA KUANZISHA VITUO VYA MICHEZO KIKANDA NA KURUDISHA VIWANJA VINAVYOMILIKIWA NA CCM KWA SERIKALI NA KUVIBORESHA KUFIKIA ATLEAST LEVEL ZA AZAM COMPLEX.

7. MAWAZIRI WASIWE WABUNGE...



WAELEZA WANACHI MH LISSU...TUNA IMANI SANA NA WEWE.

WATANZANIA WATAKUELEWA.
Hakuna kitu nakichukia km kitendo cha waziri kuwa mbunge
 
Salamu to you the Sixth president of the united republic of Tanzania!

Baada ya salamu ningependa niende moja kwa moja kwenye kusudio la barua hii. Lengo la waraka huu ni kukushauri ukipata nafasi uyasemee haya yafuatayo kwa mapana yake na kwa Lugha shawishi ili Chama chetu kishinde kwa kishindo uchaguzi huu wa 2020.

Mosi, KUWALIPA KIFUTA MACHOZI FAMILIA ZA WALIOPOTEZWA AU KUUAWA KATI 2016 HADI 2020.
Watu walio potezwa au kuuawa kikatili kisiasa ni wengi na familia zao zina uchungu usio isha. Napendekeza ulisemee hili kuwa ukiingia madarakani utawafuta machozi familia ambao wapendwa wao walipotezwa kuuawa kisiasa. Nia ni kuleta amani na utulivu katika jamii.

Pili, KUWATOA MAGEREZANI MASHEIKH WOTE WALIO MAHABUSU NA MAGEREZANI KWA SABABU ZA KISIASA NA KUWALIPA KIFUTA JASHO.

Hakika kuna kundi kubwa sana la Masheikh ambao wamefungwa kwa sababu za kisiasa na wengine tu kwasababu wanaikataa BAKWATA au wanashinikiza wawe na mahakama ya kadhi.Ahidi kwamba ukiingia madarakani utawatoa haraka pamoja kuwapa kifuta jasho ili kiwawezeshe kurudi uraiani na kuendelea na maisha yao.

Tatu, Ahidi kinaga ubaga bila kupepesa macho kuwa ukiingia madarakani UTAWAFIDIA WATU WOTE WALIO BOMOLEWA NYUMBA ZAO BILA KULIPWA FIDIA.

Kama kuna watu walionewa kupitiliza ni hawa walio bomolewa nyumba zao. Wengine walikuwa na zuio la kimahakama lakini serikali ya Kidikteta haikuheshimu mahakama wakabomoa. Watu hawa wanahitaji faraja. Ahidi chochote kwao.

Nne, KUWAPA KIFUTA JASHO WAHANGA WA TETEMEKO LA ARDHI KULE KAGERA.
Watu waliofikwa na tukio lile walifedheheshwa sana. Wanahitaji faraja kutoka kwa watanzania wapenda amani na umoja. Sema neno moja tu na roho zao zitafarijika. Walifanyiwa ukatili wa kishetani.

Tano, AHIDI KUFUTA UBAGUZI WOWOTE KATIKA UTOAJI MIKOPO KWA WANAFUNZI ELIMU YA JUU.
Awamu ya tano wamekuwa wakitekeleza ubaguzi wa waziwazi katika utoaji mikopo elimu ya juu. Imekuwa ni dhambi kusoma shule za binafsi hususan za mashirika ya dini au hizi zinazo itwa St.... hivyo kutositahili kupewa mkopo japo Mwanafunzi anatoka familia ya kipato cha kawaida.

Sita, AHIDI KUWA MAMA MARIA NYERERE ATAENZIWA KWA VITENDO NA KUPEWA ANAYO STAHILI.
Kumekuwa na tabia ya kutokumheshimu Mama Maria Nyerere hata wakati mwingine kumtumia kisiasa. Baba Wa Taifa aenziwe kwa vitendo ikiwa na kumheshimu mama Maria Nyerere.

Saba, AHIDI KUWAPANDISHA MADARAJA WAFANYAKAZI WOTE WALIO STAHILI KUPANDISHWA MADARAJA KATI YA 2016 na 2020.
Ili kurudisha ufanisi kazi ahidi kuwapandisha madaraja na kuwalipa stahiki zao kila mmoja. Jambo hili litakujengea heshima kubwa sana miongoni Mwa watumishi wa umma.

Nane, AHIDI KUWALIPA WASTAAFU WOTE AMBAO HAWAJALIPWA KATI YA 2016 na 2020.
Kuna kundi kubwa sana la watumishi walio staafu kati ya mwaka 2016 na 2020 ambao hawajalipwa fedha zao pamoja na kuingizwa katika mpango wa kulipwa Pension kila mwezi.

NB ; Makundi haya yapo Nchi nzima na ni wengi sana. Nakuomba tafuta muda Watie faraja watu hawa ambao kwa kiasi kikubwa Rais wa awamu ya tano aliwabeza na kuwafanya wajione dhalili kwenye Nchi yao.

WAPI UTAPATA FEDHA HIZI ZA KUWEZESHA MAMBO YOTE HAYA?

Kwanza napendekeza kwako ufanye yafuatayo.
Ukiingia madarakani, ongeza bei ya petrol tu siyo dizeli au mafuta ya taa, shilling moja kwa kila Lita. Tanzania nzima kuna magari takribani milioni nne yanayo tumia Petrol. Ikiwa kila Gari linatumia lita mbili kwa siku, maana yake kwa siku serikali itakusanya shs milioni 8. Kwa mwezi itakuwa milioni 240! Kwa miezi mitano serikali itakuwa imekusanya takribani shs Trilioni 1 na ushee.

Vyanzo vingine ni pamoja na kuongeza shs 1 tu kwenye vinywaji vikali na sigara kwa muda miezi Sita tu. Kwa kufanya hivyo utaweza kuponya majeraha na kurudisha furaha katika Jamii. NA MUNGU ATAKUBALIKI.
Asante kwa kuonesha uzalendo na kujali watu walioumizwa
 
Salamu to you the Sixth president of the united republic of Tanzania!

Baada ya salamu ningependa niende moja kwa moja kwenye kusudio la barua hii. Lengo la waraka huu ni kukushauri ukipata nafasi uyasemee haya yafuatayo kwa mapana yake na kwa Lugha shawishi ili Chama chetu kishinde kwa kishindo uchaguzi huu wa 2020.

Mosi, KUWALIPA KIFUTA MACHOZI FAMILIA ZA WALIOPOTEZWA AU KUUAWA KATI 2016 HADI 2020.
Watu walio potezwa au kuuawa kikatili kisiasa ni wengi na familia zao zina uchungu usio isha. Napendekeza ulisemee hili kuwa ukiingia madarakani utawafuta machozi familia ambao wapendwa wao walipotezwa kuuawa kisiasa. Nia ni kuleta amani na utulivu katika jamii.

Pili, KUWATOA MAGEREZANI MASHEIKH WOTE WALIO MAHABUSU NA MAGEREZANI KWA SABABU ZA KISIASA NA KUWALIPA KIFUTA JASHO.

Hakika kuna kundi kubwa sana la Masheikh ambao wamefungwa kwa sababu za kisiasa na wengine tu kwasababu wanaikataa BAKWATA au wanashinikiza wawe na mahakama ya kadhi.Ahidi kwamba ukiingia madarakani utawatoa haraka pamoja kuwapa kifuta jasho ili kiwawezeshe kurudi uraiani na kuendelea na maisha yao.

Tatu, Ahidi kinaga ubaga bila kupepesa macho kuwa ukiingia madarakani UTAWAFIDIA WATU WOTE WALIO BOMOLEWA NYUMBA ZAO BILA KULIPWA FIDIA.

Kama kuna watu walionewa kupitiliza ni hawa walio bomolewa nyumba zao. Wengine walikuwa na zuio la kimahakama lakini serikali ya Kidikteta haikuheshimu mahakama wakabomoa. Watu hawa wanahitaji faraja. Ahidi chochote kwao.

Nne, KUWAPA KIFUTA JASHO WAHANGA WA TETEMEKO LA ARDHI KULE KAGERA.
Watu waliofikwa na tukio lile walifedheheshwa sana. Wanahitaji faraja kutoka kwa watanzania wapenda amani na umoja. Sema neno moja tu na roho zao zitafarijika. Walifanyiwa ukatili wa kishetani.

Tano, AHIDI KUFUTA UBAGUZI WOWOTE KATIKA UTOAJI MIKOPO KWA WANAFUNZI ELIMU YA JUU.
Awamu ya tano wamekuwa wakitekeleza ubaguzi wa waziwazi katika utoaji mikopo elimu ya juu. Imekuwa ni dhambi kusoma shule za binafsi hususan za mashirika ya dini au hizi zinazo itwa St.... hivyo kutositahili kupewa mkopo japo Mwanafunzi anatoka familia ya kipato cha kawaida.

Sita, AHIDI KUWA MAMA MARIA NYERERE ATAENZIWA KWA VITENDO NA KUPEWA ANAYO STAHILI.
Kumekuwa na tabia ya kutokumheshimu Mama Maria Nyerere hata wakati mwingine kumtumia kisiasa. Baba Wa Taifa aenziwe kwa vitendo ikiwa na kumheshimu mama Maria Nyerere.

Saba, AHIDI KUWAPANDISHA MADARAJA WAFANYAKAZI WOTE WALIO STAHILI KUPANDISHWA MADARAJA KATI YA 2016 na 2020.
Ili kurudisha ufanisi kazi ahidi kuwapandisha madaraja na kuwalipa stahiki zao kila mmoja. Jambo hili litakujengea heshima kubwa sana miongoni Mwa watumishi wa umma.

Nane, AHIDI KUWALIPA WASTAAFU WOTE AMBAO HAWAJALIPWA KATI YA 2016 na 2020.
Kuna kundi kubwa sana la watumishi walio staafu kati ya mwaka 2016 na 2020 ambao hawajalipwa fedha zao pamoja na kuingizwa katika mpango wa kulipwa Pension kila mwezi.

NB ; Makundi haya yapo Nchi nzima na ni wengi sana. Nakuomba tafuta muda Watie faraja watu hawa ambao kwa kiasi kikubwa Rais wa awamu ya tano aliwabeza na kuwafanya wajione dhalili kwenye Nchi yao.

WAPI UTAPATA FEDHA HIZI ZA KUWEZESHA MAMBO YOTE HAYA?

Kwanza napendekeza kwako ufanye yafuatayo.
Ukiingia madarakani, ongeza bei ya petrol tu siyo dizeli au mafuta ya taa, shilling moja kwa kila Lita. Tanzania nzima kuna magari takribani milioni nne yanayo tumia Petrol. Ikiwa kila Gari linatumia lita mbili kwa siku, maana yake kwa siku serikali itakusanya shs milioni 8. Kwa mwezi itakuwa milioni 240! Kwa miezi mitano serikali itakuwa imekusanya takribani shs Trilioni 1 na ushee.

Vyanzo vingine ni pamoja na kuongeza shs 1 tu kwenye vinywaji vikali na sigara kwa muda miezi Sita tu. Kwa kufanya hivyo utaweza kuponya majeraha na kurudisha furaha katika Jamii. NA MUNGU ATAKUBALIKI.
Mawazo mazuri sana tuko hapa kuhakikisha maoni yote yenye kujenga tunayachukuwa na kuyafanyia kazi ujumbe umefka.
 
Salamu to you the Sixth president of the united republic of Tanzania!

Baada ya salamu ningependa niende moja kwa moja kwenye kusudio la barua hii. Lengo la waraka huu ni kukushauri ukipata nafasi uyasemee haya yafuatayo kwa mapana yake na kwa Lugha shawishi ili Chama chetu kishinde kwa kishindo uchaguzi huu wa 2020.

Mosi, KUWALIPA KIFUTA MACHOZI FAMILIA ZA WALIOPOTEZWA AU KUUAWA KATI 2016 HADI 2020.
Watu walio potezwa au kuuawa kikatili kisiasa ni wengi na familia zao zina uchungu usio isha. Napendekeza ulisemee hili kuwa ukiingia madarakani utawafuta machozi familia ambao wapendwa wao walipotezwa kuuawa kisiasa. Nia ni kuleta amani na utulivu katika jamii.

Pili, KUWATOA MAGEREZANI MASHEIKH WOTE WALIO MAHABUSU NA MAGEREZANI KWA SABABU ZA KISIASA NA KUWALIPA KIFUTA JASHO.

Hakika kuna kundi kubwa sana la Masheikh ambao wamefungwa kwa sababu za kisiasa na wengine tu kwasababu wanaikataa BAKWATA au wanashinikiza wawe na mahakama ya kadhi.Ahidi kwamba ukiingia madarakani utawatoa haraka pamoja kuwapa kifuta jasho ili kiwawezeshe kurudi uraiani na kuendelea na maisha yao.

Tatu, Ahidi kinaga ubaga bila kupepesa macho kuwa ukiingia madarakani UTAWAFIDIA WATU WOTE WALIO BOMOLEWA NYUMBA ZAO BILA KULIPWA FIDIA.

Kama kuna watu walionewa kupitiliza ni hawa walio bomolewa nyumba zao. Wengine walikuwa na zuio la kimahakama lakini serikali ya Kidikteta haikuheshimu mahakama wakabomoa. Watu hawa wanahitaji faraja. Ahidi chochote kwao.

Nne, KUWAPA KIFUTA JASHO WAHANGA WA TETEMEKO LA ARDHI KULE KAGERA.
Watu waliofikwa na tukio lile walifedheheshwa sana. Wanahitaji faraja kutoka kwa watanzania wapenda amani na umoja. Sema neno moja tu na roho zao zitafarijika. Walifanyiwa ukatili wa kishetani.

Tano,
AHIDI KUFUTA UBAGUZI WOWOTE KATIKA UTOAJI MIKOPO KWA WANAFUNZI ELIMU YA JUU.
Awamu ya tano wamekuwa wakitekeleza ubaguzi wa waziwazi katika utoaji mikopo elimu ya juu. Imekuwa ni dhambi kusoma shule za binafsi hususan za mashirika ya dini au hizi zinazo itwa St.... hivyo kutositahili kupewa mkopo japo Mwanafunzi anatoka familia ya kipato cha kawaida.

Sita,
AHIDI KUWA MAMA MARIA NYERERE ATAENZIWA KWA VITENDO NA KUPEWA ANAYO STAHILI.
Kumekuwa na tabia ya kutokumheshimu Mama Maria Nyerere hata wakati mwingine kumtumia kisiasa. Baba Wa Taifa aenziwe kwa vitendo ikiwa na kumheshimu mama Maria Nyerere.

Saba, AHIDI KUWAPANDISHA MADARAJA WAFANYAKAZI WOTE WALIO STAHILI KUPANDISHWA MADARAJA KATI YA 2016 na 2020.
Ili kurudisha ufanisi kazi ahidi kuwapandisha madaraja na kuwalipa stahiki zao kila mmoja. Jambo hili litakujengea heshima kubwa sana miongoni Mwa watumishi wa umma.

Nane, AHIDI KUWALIPA WASTAAFU WOTE AMBAO HAWAJALIPWA KATI YA 2016 na 2020.
Kuna kundi kubwa sana la watumishi walio staafu kati ya mwaka 2016 na 2020 ambao hawajalipwa fedha zao pamoja na kuingizwa katika mpango wa kulipwa Pension kila mwezi.

NB ; Makundi haya yapo Nchi nzima na ni wengi sana. Nakuomba tafuta muda Watie faraja watu hawa ambao kwa kiasi kikubwa Rais wa awamu ya tano aliwabeza na kuwafanya wajione dhalili kwenye Nchi yao.

WAPI UTAPATA FEDHA HIZI ZA KUWEZESHA MAMBO YOTE HAYA?

Kwanza napendekeza kwako ufanye yafuatayo.
Ukiingia madarakani, ongeza bei ya petrol tu siyo dizeli au mafuta ya taa, shilling moja kwa kila Lita. Tanzania nzima kuna magari takribani milioni nne yanayo tumia Petrol. Ikiwa kila Gari linatumia lita mbili kwa siku, maana yake kwa siku serikali itakusanya shs milioni 8. Kwa mwezi itakuwa milioni 240! Kwa miezi mitano serikali itakuwa imekusanya takribani shs Trilioni 1 na ushee.

Vyanzo vingine ni pamoja na kuongeza shs 1 tu kwenye vinywaji vikali na sigara kwa muda miezi Sita tu. Kwa kufanya hivyo utaweza kuponya majeraha na kurudisha furaha katika Jamii. NA MUNGU ATAKUBALIKI.
Hadi sasa Lissu ameshasababisha mabadiliko makubwa nchini akichaguliwa ni wazi mambo yatakuwa mazuri sana Tanzania.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom