HAJABU - mbona huo umati uliomzunguka Magufuri hapo umetulia kama maji ya mtungi????? Au hakuna wasanii!!! Hii ni tofauti sana na umati unaomzunguka LOWASSA. My take ni kuwa washabiki wa Lowassa wapo excited na candidate wao kuliko CCM
Kwa mtizamo wangu huyu Dr either is incompetent au yupo biased...regardless ya sababu ya ufinyu wa uelewa wa issues anatia aibu fani yake na mwajiri wake yaani UDSM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.